Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Tuesday 28 February 2023

WASHINDI WA DROO YA PILI YA PROMOSHENI YA PILSNER 'KAPU LA WANA' WAPATIKAMA

Meneja wa Bia ya Pilsner Lager kutoka Kampuni ya Bia ya Serengeti Breweries, Wankyo Marando (kulia) akizungumza kwa njia ya mtandao na baadhi ya washindi waliopatikana kwenye droo ya pili ya promosheni ya bia hiyo ijulikanayo kama 'Kapu la Wana' iliyofanyika Jumatatu jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Salim Mgufi, Mkaguzi wa michezo ya kubahatisha kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania. Promosheni hiyo ni maalaum kwa wanywaji wa bia ya Pilsner Mikoa ya kanda ya Ziwa, Kusini na Kaskazini. Promosheni ya 'Kapu la Wana' ilizinduliwa tarehe 2 Februari 2023 na inatarajiwa kuendeshwa kwa kipindi cha wiki nane, ambapo washindi watajishindia zawadi mbali mbali zikiwemo, simu janja, televisheni za kisasa, pikipiki na zawadi kubwa ya mwisho itakuwa ni gari.


No comments:

Post a Comment