| Mmoja wa wafanyakazi wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), Edward Nyanza akiuliza swali wakati Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Prof. Mohamed Janabi akitoa mada juu ya ugonjwa wa Corona kwa baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya hiyo jijini Dar es Salaam jana. |
No comments:
Post a Comment