Blog Rebranding Teaser_030826

Blog Rebranding Teaser_030826

Stanbic Bank Banner_070826

Stanbic Bank Banner_070826

Absa Loan Campaign_160426

Absa Loan Campaign_160426

Saturday, 17 October 2015

KAMPUNI YA SIMU ZA TECNO YAZINDUA SIMU AINA YA PHANTOM 5 JIJINI DAR

Meneja Mauzo wa Simu za Tecno, Fred Kadilana akionesha simu aina ya Phanton 5 wakati wa uzinduzi wa tolea jipya la simu hizo uliofanyika Dar es Salaam hivi karibuni.
Wadau mbalimbli wakiwa kwenye uzinduzi huo.
Wadau mbalimbli wakiwa kwenye uzinduzi huo.
Meneja Mauzo wa Simu za Tecno, Fred Kadilana (kulia), akitoa zawadi ya simu hiyo kwa baadhi ya waandishi waliouliza maswali mbalimbali juu ya ufanis wa toleo hilo.
Meneja Mauzo wa Simu za Tecno, Fred Kadilana (kulia), akitoa zawadi ya simu hiyo kwa baadhi ya waandishi waliouliza maswali mbalimbali juu ya ufanis wa toleo hilo.
Makampuni yanayozalisha Simu nchini yameshauriwa kuhakikisha wanakuwa wabunifu katika kusanifu na kulizasha simu bora ili kwenda sambamba na soko la dunia.

Wito huo umetolewa na Meneja mauzo wa simu za Tecno, Fred Kadilana wakati wa uzinduzi wa tolea jipya la simu ya Phantom 5 uliofanyika Dar es Salaam hivi karibuni.

HENNESSY GLOBAL BRAND AMBASSADOR CELEBRATES 250TH YEAR ANNIVERSARY WITH TOP BUSINESS EXECUTIVES IN DAR

250 Collector Blend - Limited Edition Bottle created for Hennessy's 250th Anniversary.
Cyrille Auriol, Hennessy Global Brand Ambassador at a private tasting with top executives - Hyatt Regency.
The time has come, once again, for Hennessy to celebrate another milestone in its history: its 250th anniversary. Hennessy’s Global Brand Ambassador, Mr. Cyrille Gautier Auriol, arrived in Dar es Salaam last week and his arrival marked the start of his two-day visit as part of his tour around Africa to celebrate Hennessy’s 250th Year Anniversary. The aim of Ambassador Auriol’s visit was to reward loyal Hennessy consumers as well as to educate and build awareness around the Hennessy brand in Tanzania – highlighting Hennessy’s exceptional growth in Tanzania while celebrating this exceptional milestone. Hennessy has been available in the local market and has been widely considered the favourite cognac of Tanzanians for decades. Additionally, to celebrate it’s 250th year, Hennessy has created a unique limited edition Anniversary bottle: The Hennessy 250 Collector Blend.

TANZANIA MORTGAGE MARKET UPDATE AS AT 30 JUNE 2015

Oscar Mgaya, Chief Executive Officer, Tanzania Mortgage Refinance Company Limited.

LAUNCHING OF INVESTINGTZ.COM, AN ONLINE PLATFORM FOR MAKING IT EASIER TO INVEST IN TANZANIA AND LINK LOCAL ENTREPRENEURS WITH INTERNATIONAL INVESTORS.

Salum Awadh, Managing Partner, SSC Consulting.
Investingtz is an investment platform that seeks to serve local and international investors doing business in Tanzania. It also helps to empower local suppliers and link them with markets, especially in extractive industry.

It is an online platform where investors can register and submit their request of needs, and also for local suppliers to register to our online portal which can be publicly accessed by potential buyers.

It is a professional service offered to persons and companies wishing and exploring to invest in Tanzania. The service is aimed at providing advisory and facilitation services, hustle-free, with a guaranteed value for money services

We offer four (4) main services which are;

  • Advisory services
  • Company set-up
  • Government relations
  • Local partnerships and acquisitions

SWALA TANZANIA KUANZA UCHIMBAJI MAFUTA KILOMBERO

MWONEKANO WA SASA WA NYUMBA ZA NHC MWONGOZO BEACH HOUSING ESTATE

Picha za nyumba za miradi za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) ya Mwongozo zilizopo Kigamboni jijini Dar es Salaam zilizopo katika hatua za mwisho kukamilika.

Baadhi ya nyumba za mradi wa Shirika la Nyumba la Taifa Mwongozo Beach Housing Estate ambao ni mradi wenye nyumba 216, zinavyoonekana kwa sasa.
Hizi ni nyumba za ghorofa za Mwongozo Beach Housing Estate ambao ni mradi wenye nyumba 216, zinavyoonekana kwa sasa.


AfDB HIGH-LEVEL CONFERENCE TO CATALYZE AFRICA'S AGRICULTURAL TRANSFORMATION

On October 21-23, Ministers of Finance, Planning and Economy, as well as Ministers of Agriculture, Rural Development, Trade and Industry and Governors of Central Banks will join business leaders, academia, investment agencies, civil society and global experts in Dakar, Senegal, to discuss the future and transformation of agriculture in Africa.

The Feeding Africa Conference, organized by the African Development Bank (AfDB), will be opened by its President, Akinwumi Adesina, who will be joined by Senegalese President Macky Sall and the Prime Minister of the Democratic Republic of Congo, Augustus Mpata Ponyo. The opening panel discussion on the visions of prosperity in agriculture will include former President of Ghana John Kufuor and the CEO of Dangote Foundation, Zouera Youssoufou, amongst other high-profile leaders. (Watch short video)

The conference agenda will tackle the key challenges to Africa’s agricultural transformation, a priority area for the AfDB and essential to alleviating poverty and hunger on the continent as well as for spurring growth and creating jobs. The challenges that the conference will focus on include the modernization of the agricultural sector, access to credit in particular for women farmers, access to markets and building robust value chains, making farming attractive to youth, fostering gender equality, building regional trade and developing climate smart agriculture.

RAPIDTRANSFER – THE FASTEST WAY TO SEND AND RECEIVE MONEY ACROSS AFRICA


At Ecobank, we believe the future is pan-African. That’s why we provide a convenient and reliable way to send funds both within your country and across the continent.

Rapidtransfer is safe and easy to use. The funds will reach your recipient instantly and in their local currency. There are no charges for the person you’re sending money to and they don’t even need to have an Ecobank Account.

Key features:

• Transfer money to over 30 African countries

• Receive funds in local currency

• Fast and convenient

• Reliable and safe

To use Rapidtransfer, just visit any Ecobank branch, call (255) 22 213 7447 or Toll Free 0800110021 or go to ecobank.com

Friday, 16 October 2015

FASTJET GRANTED AIR SERVICE LICENCE IN KENYA


12 October 2015 - fastjet, the pan-African low-cost airline, is pleased to announce that fastjet Kenya Ltd has been granted an Air Service Licence (ASL) by the Kenya Civil Aviation Authority (KCAA). The granting of the ASL clears the way for fastjet Kenya to commence the application process for an Air Operator Certificate (AOC) which, once received, will allow the airline to operate domestic flights within Kenya.

The AOC application process will involve an in depth review of fastjet Kenya’s planned safety management system, operational manuals and structures, its senior staff, fleet, maintenance facilities and technical capability. An early stage of the process includes agreeing a timetable for the application process with the KCAA.

THE NATIONAL BANK OF COMMERCE MANAGING DIRECTOR, EDWARD MARKS VISITS ARUSHA FOR BUSINESS ENGAGEMENTS

NBC Managing Director Edward Marks (second left) listening attentively to Willy Chambulo (left) CEO of Tanganyika Wilderness Safaris during a customer cocktail Party hosted by NBC in Arusha recently. Mr. Marks is flanked by Theobald Sabi, NBC Head of Corporate Banking, and William Kallaghe (right), NBC Public Affairs Manager.
NBC Managing Director Edward Marks exchanging views with Col. (Retired) Anatoly Tarimo during a customer cocktail function hosted by NBC in Arusha.
Serengeti National Park Chief Park Warden, William Mwakilema, and Mr. Emmanuel Moirana, Tanzania National Parks Senior Park Warden welcoming NBC Managing Director Edward Marks (right) at Seronera airstrip when he visited Tanzania's oldest and most popular national park on a fact finding visit recently. Serengeti National Park has been recently proclaimed as a 7th worldwide wonder.
Serengeti National Park Chief Park Warden, William Mwakilema, introducing NBC Managing Director, Edward Marks to the Moru Rhino Center Rangers when he visited Tanzania's oldest and most popular national park on a fact finding visit. Serengeti National Park has been recently proclaimed as a 7th worldwide wonder. Center is Theobald Sabi, NBC Head of Corporate and Investment Banking.
Serengeti Moru Rhino Center game ranger explaining a point to NBC Managing Director Edward Marks when he visited Tanzania's oldest and most popular national park on a fact finding visit recently. Serengeti National Park has been recently proclaimed as a 7th worldwide wonder. Looking on is the Serengeti National Park Chief Park Warden Mr. William Mwakilema.

FASTJET, EMIRATES WAINGIA MAKUBALIANO YA KIBIASHARA


Dar es Salaam Oktoba 13, 2015 - Katika hatua ya kuhakikisha kuwa wateja wake wanaunganishwa na usafiri wa kimataifa, kampuni ya ndege ya kiafrika yenye gharama nafuu fastjet Tanzania imesaini makubaliano ya ushirikiano na shirika kubwa la ndege la Kimataifa Emirates.

Kupitia makubaliano hayo ambayo yanaanza rasmi Oktoba 15, 2015, Emirates kwa upande mwingine watanufaika kutokana na abiria wake kuweza kufikia mtandao wa njia wa fastjet ambao unakua ndani katika eneo la Mashariki na Kusini mwa Afrika.

Akitangaza kusainiwa nkwa makubaliano hayo, meneja mkuu wa fastjet Afrika Mashariki, Jimmy Kibati alisema kuwa abiria wa Emirates hivi sasa wataweza kukata tiketi za fastjet kutoka kwenye mitandao yote ya Emirates kwa kutumia mtandao wa kompyuta uliounganishwa baina ya mashirika hayo mawili.

MOHAMMED DEWJI TO ATTEND LARGEST NORDIC-AFRICAN BUSINESS SUMMIT

Mr. Mohammed Dewji, Group Chief Executive Officer, Mohammed Enterprises Tanzania (MeTL Group).
For the fifth consecutive year, The Norwegian-African Business Association (NABA) will host the largest Nordic-African business summit. 500 Scandinavian and African experis from finance, renewable energy, agriculture, ITC, fisheries, oil and gas sectors will gather at RaddisonBLU Scandinavian Hotel in Oslo on Thursday, 29 October 2015 to discuss how Nordic capabilities can be linked with African opportunities.

Africa's future economy hosts the world's youngest and fastest growing urban population. Africa's economy must facilitate rapid growth and change in the coming years. This is why "Nordic competence linked to African opportunities" is the main theme at this year's Nordic-Africa Business Summit.The summit is being held for the fifth consecutive year. Due to its great success, the Norwegian-African Business Summit has now become the Nordic-African Business Summit.

EXCLUSIVE - HONOURED TANZANIANS - RANKING 2015 AFRICAN ECONOMIC LEADERS


Further to the success of its first edition, the Institut Choiseul publishes, for the second year in a row, the ranking of young Africanbusiness leaders : the Choiseul 100 Africa.

This original study identifies all those who carry the economic growth and development of Africa, and embody the renewal of the continent.

5 Tanzanian laureates have been identified among the Top 100 of the ranking.

Read the Choiseul 100 Africa

We remain at your disposal should you require any further information.

Yours sincerely,

Guillemette Arsac

Responsable communication


Follow us on
logo IC
16, rue du Pont Neuf, - 75001 Paris
+33(0)1 53 34 09 93

Afficher l'image d'origineAfficher l'image d'origine


MNUSO WA BIRTHDAY YA MIAKA 70 YA UMOJA WA MATAIFA WAFANA JIJINI DAR #UN70

IMG_8050
Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Bw. Alvaro Rodriguez akipokea wageni nyumbani kwake kwenye mnuso wa birthday ya miaka 70 ya Umoja wa Mataifa jijini Dar.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog).

IMG_8060
Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Bw. Alvaro Rodriguez (katikati) akimtambulisha mmoja wa wageni waalikwa kwa Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Awa Dabo (kulia).

IMG_8109
Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi Duniani (UNHCR) nchini, Joyce Mends-Cole (kulia) akifurahi jambo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula (kushoto) wakati wa zoezi la kupokea wageni waalikwa kwenye mnuso wa birthday ya miaka 70 ya Umoja wa Mataifa Tanzania. Katikati ni Mkuu wa Ofisi na Mwakilishi wa Shirika la UNESCO Tanzania, Zulmira Rodrigues.

IMG_8121
Wageni mbalimbali wakiendelea kuwasili na kupokelewa na wakuu wa Mashirika mbalimbali ya Umoja wa Mataifa.

IMG_8163
Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) Alvaro Rodriguez (kushoto) akiongozana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Dkt. Mahadhi Juma Maalim mara tu alipowasili kwenye mnuso wa birthday ya miaka 70 ya Umoja wa Mataifa nchini.

IMG_8144
Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Awa Dabo (kulia) akifurahi jambo na mmoja wa wageni waalikwa. Katikati ni Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Bw. Alvaro Rodriguez.

IMG_8326
Kutoka kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Diaspora kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bibi Rosemary Jairo, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Dkt. Mahadhi Juma Maalim, Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy pamoja na Katibu wa Dkt. Mahadhi wakiwa kwenye mnuso wa birthday ya miaka 70 ya Umoja wa Mataifa.

IMG_8315
Mtaalam wa Mahusiano na Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania, Hoyce Temu akisherehesha mnuso wa birthday ya miaka 70 ya Umoja wa Mataifa tangu kuanzishwa kwake.

FOR WORLD FOOD DAY 2015, FOODPANDA LAUNCHES CAMPAIGN “YOU SAY, WE GIVE” TO FIGHT HUNGER

PRICEWATERHOUSECOOPERS SUPPORTS MTAKUJA SECONDARY SCHOOL

PriceWaterhouseCoopers (PWC) donated 563 books, worth TZS 4.1 million to the to the Mtakuja Secondary School (Kinondoni library). Bachi Shirima of PriceWaterhouseCoopers handed over the books to Lucy Peter, Head of the English Department. Also present were PWC staff, library prefects and Realising Education/READ International Executive Director, Montse Pejuan.

HALOTEL LAUNCH TELECOMMUNICATIONS NETWORK WITH A VISION TO PROVIDE EVERY TANZANIAN WITH A MOBILE PHONE

Kinondoni Municipal Trade Officer, Ananias Kamundu (L), and Halotel Kinondoni Regional Director, Alex Thiem (R), cut a ribbon to officiate the launch of Halotel Communication Company network in Dar es Salaam ​today​. Centre is the Company’s Managing Director, Nguyen Thanh Quang.

  • Halotel officially provides mobile services nationwide in Tanzania. 
  • As the best investment in Tanzania, Halotel sets a vision to provide every Tanzanian with a mobile phone and bring telecommunication and information technology to every corner of life, as a basic commodity for all Tanzanians. 
Dar es Salaam, 15 October 2015 – Halotel today announced the launch of 2G and 3G mobile and internet services in Tanzania.

Recognized as the “Best Investment Project 2014 in East, Central and West Africa Region” at the 5th Annual Investment Meeting (AIM) held in Dubai, UAE, Halotel is expected to make telecom services accessible to every population of Tanzania through its strong and advanced technology network throughout the country.

Besides 2G service for voice call and message, Halotel will bring competitively-priced 3G connectivity (of speeds up to 45 mbps) to the most remote areas of the country, empowering not just urban but rural areas through connectivity, and offering mobile services as a basic commodity.

TIGO YAMPOKEA MSANII DIAMOND, UMATI MKUBWA WAFURIKA KUMLAKI JIJINI DAR

Meneja wa Tigo music, Hamza Balla akiongea na waandishi wa habari na mashabiki waliojitokeza kwa wingi kumpokea msanii wa kizazi kipya Nassib Abdul Diamond (kushoto) mara baada ya kuwasili kutoka nchini Marekani alikopokea Tuzo za Afrimma. Pembeni kulia Mtaalam wa mitandao ya kijamii toka Tigo Samira Baamar.
Msanii Diamond Platnumz akiongea na waandishi wa habari na mashabiki waliojitokeza kumpokea mara baada ya kuwasili kutoka nchini Marekani alikopokea Tuzo za Afrimma. Wengine kushoto kwake Meneja wake Babu Tale, Meneja wa Tigo music Hamza Balla, na Mtaalam wa mitandao ya kijamii toka Tigo Samira Baamar.
Msanii Diamond Platnumz akiongea na waandishi wa habari na mashabiki waliojitokeza kumpokea mara baada ya kuwasili kutoka nchini Marekani alikopokea Tuzo za Afrimma. Wengine kushoto kwake Meneja wake Babu Tale, Meneja wa Tigo music Hamza Balla, na Mtaalam wa mitandao ya kijamii toka Tigo Samira Baamar.

Msanii Diamond( kulia) akiwa na mama yake na Meneja wake wa kimataifa.
Msanii Nassib Abdul Diamond (katikati), Meneja wa Tigo music Hamza Balla (kushoto) na Mtaalam wa mitandao ya kijamii toka Tigo Samira Baamar wakiwa kwenye picha ya pamoja kuwaonyesha mashabiki tuzo alizonyakua za Afrimma.
Msanii Nassib Abdul Diamond (katikati), Meneja wa Tigo music Hamza Balla (kushoto) na Mtaalam wa mitandao ya kijamii toka Tigo Samira Baamar wakiwa kwenye picha ya pamoja kuwaonyesha mashabiki tuzo alizonyakua za Afrimma.

Wednesday, 14 October 2015

UBA TANZANIA CELEBRATES THE EVERYDAY HEROES: CUSTOMER SERVICE WEEK


Customers and the MD cut the cake to celebrate the Customer Service Week 5-9 October 2015.(All photos by Geofrey Adroph).

Customers toast their glasses in celebration of the Customer Service Week 5–9 October 2015.
A cross section of UBA staff with customer of the Bank during the celebration of the Customer Service Week 5 – 9 October 2015.
The Managing Director Mr. Demola Ogunfeyimi addressing UBA staff and Customers at the UBA banking hall at PUGU road during the Customer Service Week celebration.

NINI HASA NI KIVUTIO KATIKA MJI ALIOZALIWA HAYATI MWALIMU JULIUS K. NYERERE?