Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Thursday 28 February 2019

WAZIRI JAFO AIPONGEZA BENKI YA DCB KWA KUJIENDESHA KWA FAIDA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jafo (wa pili kulia), akizungumza na waandishi wa habari wakati alipotembelea tawi la Benki ya Biashara ya DCB jijini Dodoma. Wengine kutoka kushoto ni Mkuu wa Masoko na Mawasiliano, Rahma Ngassa, Mkurugenzi Mtendaji, Godfrey Ndalahwa na Meneja wa DCB Dodoma, Joseph Njile. 
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa (katikati),akizungumza na waandishi wa habari wakati Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemeni Jafo (wa pili kilia), akitembelea tawi la benki hiyo mjini Dodoma. Wengine kutoka kushoto ni Mkuu wa Masoko na Mawasiliano, Rahma Ngassa na Meneja wa DCB Dodoma, Joseph Njile.
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Patrobas Katambi (katikati), akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa (kushoto), wakati akitembelea tawi la benki hiyo mjini Dodoma. Kulia ni Mhasibu wa tawi hilo, Daniel Makyao.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Selemani Jafo (katikati waliokaa), akipiga picha na uongozi wa DCB pamoja na baadhi ya wateja waliokuwepo tawini hapo wakati wa ziara yake mjini Dodoma.

JANUARY 2019 PROGRESS VIDEO; STANDARD GAUGE RAILWAY LINE FROM DAR ES SALAAM TO MOROGORO PROJECT

THE TANZANIA INSTITUTE OF BANKERS NOTICE TO ALL MEMBERS


NOTICE TO ALL MEMBERS
Following the ongoing maintenance of SARIS, We advise all New and Existing Members to apply for Membership and for May session Professional Examinations by using Physical Forms until further notice. 
These forms can be downloaded from the Institute’s Website. Payment for every programme applied should be made through bank account indicated in the respective application form.
Submit to the Institute the duly completed application form together with pay-in-slip by mail or send the scanned copies by email ;
Mail Adress:
The Executive Director
Tanzania Institute of Bankers
P o Box 8182
Dar es Salaam.
Email Adress:
Scanned Copies to; info@tiob.or.tz
Attn: Training Manager.

Wednesday 27 February 2019

BENKI YA CRDB YAJIPAMBANUA KUUNGA MKONO JUHUDI ZA SERIKALI YA KUTOA ELIMU BURE NA BORA

Benki ya CRDB imeendelea kujipambanua kwa kuunga mkono juhudi za Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli ya kutoa elimu bure na bora kwa wanafunzi wote nchini. Hilo limedhihilika tarehe 26 Februari 2019 kwa kukabidhi madarasa mawili pamoja na madawati 40 vyote vikiwa na thamani ya shilingi milioni 60 kwa Shule ya Sekondari ya wasichana ya Iringa (Iringa Girls Secondary School).

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Hapi (katikati), Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (wa pili kulia), Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Richard Kasesela (kulia), Mjumbe wa Bodi ya Benki ya CRDB, Dkt. Neema Mori (wa pili kushoto) pamoja na Mbunge wa Viti Maalum Iringa, Ritha Kabati wakikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa madarasa mawili yaliyojengwa kwa ufadhili wa Benki ya CRDB kwa shule ya Sekondari ya wasichana ya Iringa (Iringa Girls Secondary School), hafla iliyofanyika tarehe 26 Februari 2019 shuleni hapo, Mkoani Iringa. 
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Hapi na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela wakingukua kitambaa cha jiwe la msingi wakati wa ufunguzi rasmi wa madarasa mawili yaliyojengwa kwa ufadhili wa Benki ya CRDB kwa shule ya Sekondari ya wasichana ya Iringa (Iringa Girls Secondary School), hafla iliyofanyika tarehe 26 Februari 2019 shuleni hapo, Mkoani Iringa.

Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Hapi akimshukuru Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela kwa msaada wa madarasa mawili yaliyojengwa kwa ufadhili wa Benki ya CRDB kwa shule ya Sekondari ya wasichana ya Iringa (Iringa Girls Secondary School), hafla iliyofanyika tarehe 26 Februari 2019 shuleni hapo, Mkoani Iringa.
Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Ally Hapi akitoa hotuba yake wakati wa hafla ya ufunguzi rasmi wa madarasa mawili yaliyojengwa kwa ufadhili wa Benki ya CRDB kwa shule ya Sekondari ya wasichana ya Iringa (Iringa Girls Secondary School).
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akizungumza katika hafla ya ufunguzi rasmi wa madarasa mawili yaliyojengwa kwa ufadhili wa Benki ya CRDB kwa shule ya Sekondari ya wasichana ya Iringa (Iringa Girls Secondary School). 
Mjumbe wa Bodi ya Benki ya CRDB, Dkt. Neema Mori akizungumza machache katika ufunguzi rasmi wa madarasa mawili yaliyojengwa kwa ufadhili wa Benki ya CRDB kwa shule ya Sekondari ya wasichana ya Iringa (Iringa Girls Secondary School).
Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Richard Kasesela akifurahi jambo wakati wa ufunguzi rasmi wa madarasa mawili yaliyojengwa kwa ufadhili wa Benki ya CRDB kwa shule ya Sekondari ya wasichana ya Iringa (Iringa Girls Secondary School).

YUSUF MANJI'S EMPIRE FACES BUSINESS CHALLENGES


Embattled businessman, Yusuf Manji has suffered yet another blow after Honda Motor Southern Africa Proprietary Limited (Honda SA) terminated authorised dealership agreement for its products with Quality Motors Limited (QML).

Manji owned QML, a subsidiary of Quality Group Limited (QGL), was the authorised dealer of Honda products in Tanzania.

Read More >>

UJENZI SGR - WATANZANIA WAJITOKEZA VINGUNGUTI KUSHUHUDIA UTANDIKAJI WA RELI MPYA YA SGR

Tuesday 26 February 2019

ZIMBABWE DEVALUES CURRENCY AS ECONOMIC CRISIS DEEPENS

People queue outside a bank in Harare, Zimbabwe February 22, 2019.
HARARE (Reuters) - Zimbabwe underwent a de facto devaluation on Friday as its central bank began trading a sharply discounted replacement currency, attempting to ease a cash crunch that has hobbled the economy and plunged millions deep into poverty.

The country adopted the dollar in 2009 but, as a chronic hard currency shortage worsened, introduced a parallel system of bond notes pegged at 1:1 to the U.S. currency.

Effectively reintroducing a national currency, the Reserve Bank of Zimbabwe (RBZ) said on Wednesday it would carry out a “managed float” of the surrogate, which already fetches far less than a dollar on the black market.

On Friday, it exchanged the bond notes’ replacement for dollars at a rate of 2.5.

Economists cautiously welcomed the central bank’s intervention, which it hopes will temper demand for black market dollars and ease inflation as the new currency settles.

But uppermost in ordinary Zimbabweans’ minds were fears it might trigger a return to the hyperinflation that plagued part of the tenure of former leader Robert Mugabe.

PRUDENTIAL CAPITAL MARKET UPDATE AS AT 26 FEB. 2019

Monday 25 February 2019

TANZANIA NA UFARANSA USHIRIKIANO WAZIDI KUIMARIKA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga (kushoto) akipokelewa na mwenyeji wake, Waziri wa Ulaya na Mambo ya Nje wa Ufaransa, Mhe. Jean-Yves Le Drian jijini Paris. Dkt. Mahiga yupo nchini Ufaransa kwa ziara ya siku mbili tarehe 21 na 22 Februari 2019. 
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga (kushoto) akiwa katika mazungumzo na mwenyeji wake, Waziri wa Ulaya na Mambo ya Nje wa Ufaransa, Mhe. Jean-Yves Le Drian.
Tanzania na Ufaransa zimeahidi kuimarisha ushirikiano wa kimaendeleo; kuongeza uwekezaji na biashara; na kutafuta ufumbuzi wa migogoro inayozikabili nchi za Ukanda wa Maziwa Makuu, Ukanda wa Bahari ya Hindi na changamoto nyingine za kiusalama katika maeneo hayo.

Ahadi hiyo ilitolewa na Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi hizo jijini Paris leo walipokutana kwa ajili ya mazungumzo. Mhe. Dkt. Augustine Mahiga, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki yupo nchini Ufaransa kwa ziara ya kikazi siku siku mbili 21 na 22 Februari 2019 kufuatia mwaliko wa Waziri wa Ulaya na Mambo ya Nje wa Ufaransa, Mhe. Jean- Yves Le Drian ambaye ameahidi pia kufanya ziara ya kikazi nchini Tanzania hivi karibuni.

Kabla ya mazungumzo hayo, Mheshimiwa Balozi Mahiga alikutana na kufanya mazungumzo na kundi la Maseneta wa Ufaransa ambao ni marafiki wa Tanzania wakiongozwa na Seneta Ronan Dantec ambaye ni Mwenyekiti wa Maseneta hao. Maseneta hao walipendekeza kuanzishwa kwa ushirikiano dada kati ya jiji la Paris na Dodoma. Ushirikiano huo ujikite zaidi katika matumizi bora ya ardhi, mipango miji na kutekeleza miradi mbalimbali ya kukabiliana na changamoto za mabadiliko ya tabianchi.

NMB BANK TOGETHER WITH MINISTRY OF LIVESTOCK AND FISHERIES, ILRI AND RABO PARTNERSHIPS PARTNERS WITH GDP FOR STRATEGIC AGRIBUSINESS SUMMIT

NMB Bank’s Senior Manager: Food and Agri Research Advisory Services Carol Nyangaro speaking at the Dairy Sector Roundtable Meeting held at Serena Hotel from the 25th - 26th February 2019. NMB Bank PLC in collaboration with Global Dairy Platform (GDP) have co-hosted the Dairy Sector Roundtable Meeting bringing together over 150 local and international experts to discuss and come up with a plan to support the dairy sub sector in Tanzania.
Minister of Livestock and Fisheries Hon. Luhaga Joelson Mpina launches the Dairy Sector Roundtable Meeting hosted in collaboration by NMB & GDP. The Minister thanked NMB for organizing this roundtable meeting which provides an exceptional opportunity for delegates to interact and deliberate on any possible initiatives championed by the government, agribusinesses, as well as other partners supporting Tanzanian dairy sector.
  • NMB Bank co-hosts Dairy Sector Roundtable Meeting in partnership with Global Dairy Platform (GDP) in a bid to support Agribusiness growth in Tanzania
  • The meeting aims to create a comprehensive draft plan of action towards a more improved and efficient dairy subsector in Tanzania
  • Over 150 local & international dairy sector experts converged in Dar es Salaam for the meeting
Dar es Salaam, February 25, 2019 - NMB Bank PLC in collaboration with Global Dairy Platform (GDP) have co-hosted a Dairy Sector Roundtable Meeting bringing together over 150 local and international experts to discuss and come up with a plan to support the dairy sub sector in Tanzania.
The two day conference themed ‘Creating a Sustainable, Competitive & Visionary Tanzanian Diary Subsector’ will provide space for experts to share successful experiences on the importance of dairy in poverty alleviation, combating malnutrition and economic development.
Other Co-hosts include the Ministry of Livestock and Fisheries, Rabo Partnerships and International Livestock Research Institute (ILRI).
Speaking at the roundtable meeting, NMB Bank’s Senior Manager Food and Agri Research Advisory Services – Carol Nyangaro said the bank is committed to support the growth of agriculture with a special focus on the value chain.

STANDARD CHARTERED MAINTAINS ITS MOMENTUM AS IT INTRODUCES MORE DIGITALLY-LED RETAIL BANKS IN AFRICA

The Bank has launched its digital services in Tanzania and Ghana following successful roll-outs in Côte d’Ivoire and Uganda
DUBAI, United Arab Emirates, February 24, 2019/ -- Standard Chartered (www.SC.com) today announced it had completed a simultaneous multi-market launch of its digitally-led retail banks in Tanzania and Ghana, with Kenya’s roll out scheduled to occur shortly. This follows the launches of the Bank’s digital offering in Uganda in January this year and Côte d’Ivoire in 2018. The expansion is part of the Bank’s overarching digital transformation strategy for the African continent.

The most recent roll-outs provide Tanzania and Ghana with access to the mobile-led digital bank platform, which has added benefits such as instant account opening (available in local and US currencies), zero fee on bill payment, zero monthly ledger, no minimum balance, and free initial ATM cards.

Customers will also benefit from over 70 client services, as well as a client onboarding experience in under 15 minutes. Additionally, the roll-out will offer customers exclusive retail, travel and dining experiences through the Bank’s strategic local alliances.

PRUDENTIAL CAPITAL MARKET UPDATE AS AT 25 FEB. 2019

MORTGAGE FINANCE TRAINING; 4 - 8 MARCH 2019


JOB VACANCY ANNOUNCEMENTS AT TIB CORPORATE BANK

SERENGETI BREWERIES CREATES RESPONSIBLE DRINKING AWARENESS TO MOROGORO ROAD USERS

Regional Traffic Officer for Morogoro region, (RTO) Michael Deleli handling over Reflectors to Yusuph Ramadhan who is a bodaboda rider in the city during the official launch of the Serengeti Breweries - Responsible drinking campaign named ‘Don’t Drink and Drive’ as part of the Brewer’s initiative to curb road accidents caused by irresponsible drinking in the country. On the left is SBL Director of Corporate Relations Mr. John Wanyancha.
Morogoro, February 23, 2019 - Serengeti Breweries Limited (SBL) continues with its awareness creation campaign on responsible drinking this time reaching out to drivers, college students, public vehicle drivers and bodaboda riders in Morogoro region.

The two-day campaign dubbed Don’t Drink and Drive will be held this coming Friday and Saturday and is estimated to impact over 1,000 residents of Morogoro town in bars, high learning institutions as well as road users, said SBL Corporate Relations Director, John Wanyancha, at a meeting with the media held here today.

SBL is partnering with the police in the campaign and this follows similar initiatives by the company in Mwanza and Dar es Salaam early this month where, according to the Director, an estimated 2,100 people including bus and taxi drivers, bodaboda riders, university students and pedestrians received responsible drinking knowledge.

AN ENLARGED TPB BANK TO INTRODUCE VISA-ENABLED DEBIT CARDS THIS YEAR

USING 'LEAPFROG' TECHNOLOGY, NEW THINKING TO DRIVE THE FINANCIAL INCLUSION AGENDA THROUGH

EMPLOYMENT OPPORTUNITY AT BANK OF INDIA


Friday 22 February 2019

STANDARD CHARTERED BANK TANZANIA TAKES DIGITAL BANKING TO NEW HEIGHTS

Standard Chartered Tanzania CEO, Sanjay Rughani (left) addresses invited guests at the launch of the Banks Digital App in Dar es Salaam on Wednesday. With the App, Standard Chartered clients can access more than 70 services on their fingerprints. Looking on is Bank of Tanzania Deputy Governor (Financial Stability and Deepening), Dr. Bernard Kibesse, who was the Guest of Honour at the launch event.
Bank of Tanzania Deputy Governor (Financial Stability and Deepening), Dr. Bernard Kibesse addresses invited guests during the launch of Standard Chartered Bank Tanzania Digital App.
From left, Bank of Tanzania Deputy Governor (Financial Stability and Deepening), Dr. Bernard Kibesse, Standard Chartered Tanzania CEO, Sanjay Rughani, Brand Ambassador for Standard Chartered Tanzania, Vanessa Mdee, Standard Chartered Head of Retail Banking, Ajmair Riaz, demonstrating the UNSTOPPABLE pose following the launch of the Standard Chartered App. The launch took place in Dar es Salaam on Wednesday and was attended by BOT Deputy Governor as the Guest of Honour.
Over 70 self-service requests through new digital App

As the banking industry keeps evolving, thriving to offer the most convenient and seamless banking solutions, Standard Chartered Bank Tanzania has launched its fully digital online banking solution that will give clients access to over 70 self-service requests, making banking more accessible, hassle-free and convenient.

The digital App is geared to give clients more flexible banking options. With Standard Chartered’s digital solution, anyone can join the Bank by downloading the SC Mobile Tanzania App. The App. offers free online accounts can be opened both in local and US dollar currencies enabling the Bank’s clients to enjoy benefits such as: zero fee on bill payment, zero monthly ledger, no minimum balance, free initial ATM cards and zero fee on the Standard Chartered to Standard Chartered Online Bank transfers.

Speaking at the press launch held in Dar es Salaam on Wednesday, the CEO of Standard Chartered Bank in Tanzania, Sanjay Rughani, said, “It has been a long time coming and we are pleased to launch our digital bank initiative here in Tanzania. This is a key milestone on our digital journey as a Bank and underlines our commitment to continue steadily investing in modern technology, build systems and upskill our people whilst tapping into our global expertise to make digitization a reality in Tanzania.”


BENKI YA NIC TANZANIA YA FUNGUA TAWI JIPYA ZANZIBAR

Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Dk. Khalid Salum Mohamed akikata utepe katika uzinduzi wa tawi jipya la benki ya NIC Tanzania,lililopo katika jengo la Muzammil Centre, Zanzibar.
Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Dk. Khalid Salum Mohamed akihutubia waageni waalikwa na waandishi wa habari katika hafla ya uzinduzi wa tawi jipya la benki ya NIC Tanzania, Zanzibar.
Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Dk. Khalid Salum Mohamed akikagua huduma na kuongea na wateja ndani ya benki katika hafla ya uzinduzi wa tawi jipya la benki ya NIC Tanzania, lililopo katika jengo la Muzammil Centre, Zanzibar.
Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Dk. Khalid Salum Mohamed akiwa katika picha ya pamoja na wakurugenzi wa bodi ya benki ya NIC Tanzania na wafanyakazi wa benki katika hafla ya uzinduzi wa tawi jipya la benki ya NIC Tanzania, lililopo katika jengo la Muzammil Centre, Zanzibar.
21 Februari 2019, Zanzibar - Benki ya NIC Tanzania imefungua tawi jipya Zanzibar hii leo ikiwa sehemu ya mikakati ya kukuza mtandao wake, kuongeza wateja warejareja na kukuza mfuko wake wa biashara ndogo ndogo.

Tawi hili jipya lililopo kwenye gorofa ya chini ya jengo la Muzammil Centre, barabara ya Mlandege linalenga kuhudumia jamii ya wafanyabiashara wa visiwani, kadiri jamii hio inavyo zidi kukuwa hususan kwenye eneo hilo.

Uzinduzi wa tawi hili unafikisha idadi ya matawi ya NIC kuwa 6 ya kiwemo matawi 5 bara na 1 Zanzibar. Tawi hili litakuwa la kwanza Zanzibar kutoa cheki za kidijitali na huduma ya kuweka fedha benki kutokea maofisini pasina kubidiika kutembelea kwenye tawi. Hii ikiambatana na huduma ya mtandaoni ambayo inawawezesha wafanyabiashara kuangalia miamala wanayofanya kupitia mtandao wa NIC Now.

PRUDENTIAL CAPITAL MARKET UPDATE AS AT 22 FEB. 2019

WHY BANKS SHOULD EMBRACE SOCIAL MEDIA - PART TWO

By Kelvin Mkwawa, MBA - Seasoned Banker.

Last week, I urged that in the current banking environment, strategic social communication has become an integral component of how banks build relationships with their customers and communities. Therefore, banks need to move towards providing faster and more efficient solutions for their existing clients and engage with prospective clients. One way to do that is through social media platforms. The bank needs an effective, comprehensive, profitable social marketing strategy that integrates with the rest of its marketing activities. It’s not just about what social platforms to use, but how to use them, and when. Hence the bank needs to define a social media strategy that suits its business.

In addition, I pointed out last week that, many banks in Tanzania are lagging behind in their comprehensive adoption of social media because they do not understand how to strategically use social media or do not have confidence in the importance of social media. For a bank to have a competitive advantage, it needs to embrace social media platforms. Last week I shared two reasons why banks should embrace social media: it reduces costs and improves efficiency, and improves customer experience. I urged that for those banks that do not use social media platforms yet, social media is here to stay and will continue to be a major player in the banking industry. So it is imperative for a bank to plan how it will utilize the social media platforms. So how can social media help banks? This week I will share two more reasons why banks should embrace social media:

  • Finding potential customers - According to the Tanzania Communication Regulatory Authority (TCRA), the number of internet users in Tanzania is 23 million with most of them browsing while on the go via mobile devices. It is safe to assume all of them have access to social media since mobile users just love to flock to social networking sites and platforms. Through social media, banks can monitor online conversations to understand the behaviours and needs of prospective customers, which will enable the banks to design new, or modify existing, products based on those needs.
  • Communicate effectively – In the banking industry where customer’s interaction is necessary, it can be difficult for a bank to communicate important messages to a wide audience via normal channels. Being in the industry of trust, it is very important for banks to find a way to become more transparent to customers. Social media platforms can make that happen by enabling banks to respond quickly to customers’ inquiries and engage with them anytime, anywhere. 
We have seen the impact social media can have on banks by, reducing costs and improving efficiency, improving customer experience, finding potential customers and help the banks to communicate effectively. So banks shouldn’t ask themselves whether they should invest in social media or not but, rather how they can use socialmedia to improve their bottom line. 


Banks must embrace social media to create competitive advantages as competition comes from everywhere and having a competitive edge over the competitors is important as ever before. To truly realize the power of social media, banks must move beyond the deployments of social media platforms. Instead, they must adopt a culture that solicits and take action on customer feedback and continue to foster the culture that embraces the voice of the customer throughout the bank. This will enable a bank to develop and sustain customer relationships that extend beyond single transactions. Lastly, to the banks which do not use social media, you are missing the biggest opportunity to connect with your customers directly.

Written by Kelvin Mkwawa, MBA
Seasoned Banker
Email address: Kelvin.e.mkwawa@gmail.com

WHY BANKS SHOULD EMBRACE SOCIAL MEDIA - PART ONE

By Kelvin Mkwawa, MBA - Seasoned Banker.

Conventional marketing wisdom long held that a dissatisfied customer tells 10 people. But in this new age of social media, he or she has the tools to tell 10 million. As technology gradually changes the banking industry, social media plays an important role in achieving banks’ objectives. Furthermore, in the current banking environment, strategic social communication has become an integral component of how banks build relationships with their customers and communities. According to Jeremy K. Balkin, an expert in the engagement of Millennials in the financial services sector, more than 60% of people (Millennials) today choose to bank on their mobile device first and by 2020 it is estimated that some 1.9 billion people will be banking on mobile. Therefore, banks need to move towards providing faster and more efficient solutions for the entire Millennial generation. According to Financial Brand (a digital publication focused on marketing and strategy issues affecting banks), nine out of ten financial institutions in developed markets are using Facebook and at least 50% of them are using at least Twitter or Instagram platforms compared to less than 30% of financial institutions in developing markets.

Social media helps banks to build meaningful relationships with existing clients and engage prospective clients. Social media is also one of the first places that potential clients go to find out more about your business so if the bank is not on social media platforms, it misses out on opportunities to grow its audience. The bank needs an effective, comprehensive, profitable social marketing strategy that integrates with the rest of its marketing activities. It’s not just about what social platforms to use, but how to use them, and when. Hence the bank needs to define a social media strategy that suits its business.

Unfortunately, many banks in Tanzania are lagging behind in their comprehensive adoption of social media because they do not understand how to strategically use social media or do not have confidence in the importance of social media. For those banks that do not use social media platforms yet, social media is here to stay and will continue to be a major player in the banking industry. Customers nowadays are more likely to air their grievances via social media than to call a bank directly so it is imperative to utilize social media platforms. So how can social media help banks?
  • Reduce costs and Improve efficiency – To survive in the banking industry, it is essential for banks to have knowledge of what customers think about their products and services. That is one of the main reasons why banks spend so much money conducting surveys and focus groups. The surveys and focus groups are expensive channels to understand what your customers think about your products and services and this is where I believe social media platforms can make a difference to the banks. Social media can help the banks get the customer’s feedback about their products and services easier and cheaper than traditional methods. Imagine the amount of time, efforts and money the bank will save by using social media platforms to get the feedback to improve and be more efficient while positively impacting its revenue.
  • Improve Customer experience - Through social media, banks have a chance to understand the customers better, which means they can offer them an improved customer experience. Customer expectations are changing; most of them now expect real time responses and social media provides free platforms for customers and banks to communicate anytime. Ignoring conversation about your bank on social media is very dangerous. It removes the bank’s control over brand image and might damage the bank’s reputation as a customer-centric champion. In one of my previous articles, I stated that by offering excellent customer service, customers will talk about you positively, hence refer your products and services to their friends, family members, and even strangers which in return will bring the awareness of your brand to the masses. When it comes to achieve long term success in banks, nothing matters if you offer poor customer services.
In Part 2, I will share two other reasons why banks should embrace social media platforms.

Written by Kelvin Mkwawa, MBA
Seasoned Banker
Email address: Kelvin.e.mkwawa@gmail.com

CRDB BANK PLC JUNIOR JUMBO ACCOUNT - A FUTURE WITHOUT WORRIES!


If you wish to secure the future of your children and ensure they receive quality education and world-class health cover then think Jumbo Junior Account from CRDB Bank PLC.

The Junior Jumbo Account is specifically designed parents or guardians to save for their children’s future. Junior Jumbo is an account tailored for children below 18 years of age.


CENTRE FOR AFFORDABLE HOUSING FINANCE IN AFRICA - 2018 YEARBOOK



HALMASHAURI YA CHATO / SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC) WAZINDUA RASMI MAUZO YA VIWANJA

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Dk. Maulidi Banyani (kati kati) akizungumza kutoa neno la shukurani katika uzinduzi huo kulia kwake ni Mkuu wa Mkuu wa Wilaya ya Chato Injinia Msafiri Mtemi Simioni na kushoto kwake ni Waziri wa Nishati na mbunge wa jimbo hilo, Dk. Medard Kalemani. 
Waziri wa Nishati na mbunge wa jimbo hilo, Dk. Medard Kalemani (kulia) akimshukuru Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Dk. Maulidi Banyani (kushoto) kwa mchango wake katika upimaji wa viwanja hivyo vilivyozinduliwa mauzo.
Mkuu wa Wilaya ya Chato Injinia Msafiri Mtemi Simioni akizunguma katika uzinduzi huo kushoto kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Dk. Maulidi Banyani na Waziri wa Nishati na mbunge wa jimbo hilo, Dk. Medard Kalemani. Kulia kwake ni Mwenyekiti wa Halmashauri na Kaimu Mkurugenzi wa Wilaya hiyo, Philip Shoni.
Waziri wa Nishati na mbunge wa jimbo hilo, Dk. Medard Kalemani akizungumza katika hafla hiyo na kulia kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Dk. Maulidi Banyani.
Kaimu Mkurugenzi wa Hazina na Uendelezaji Biashara, William Genya (wa pili kulia) akijadiliana jambo na Meneja wa Wakala wa Majengo wa Serikali (TBA) mkoa wa Geita, Glagys Jeffta (wa kwanza kulia). Wanaoshuhudia kutoka kushoto ni Maafisa Uendelezaji Biashara, Clara Lumbanga, Phoibe Keu na Olivia Musanga Zoka. 
Eneo lililopimwa la Rubambangwe linavyoonekana kwa picha ya Drone,
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato, Eliud Mwaiteleke (kushoto) akijadiliana jambo na na Kaimu Mkurugenzi wa Masoko wa NHC, Itandula Gambalagi (katikati).
Hadhira ikifuatilia hafla hiyo ya uzinduzi.
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UUZAJI WA VIWANJA KATIKA ENEO LA RUBAMBANGWE HALMASHAURI YA WILAYA YA CHATO

Halmashauri ya Wilaya ya Chato ikishirikiana na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) inautangazia umma juu ya uuzaji wa viwanja 1,035 vilivyopimwa na kuwekewa barabara katika eneo la Mlimani na Rubambangwe kata ya Muungano. Mauzo ya viwanja yanaanza wiki ijayo.

Wananchi wote mnakaribishwa kununua viwanja vyenye matumizi mbalimbali kama vile makazi, makazi na biashara, viwanja vya biashara, maeneo ya kumpumzikia, viwanja vya michezo na huduma mbalimbali za kijamii kama zahanati, Shule, Vituo vya Mafuta kwa bei ya kuanzia Tsh 1,300 kwa mita ya mraba.

Viwanja vipo mita chache kutoka katikati ya mji wa Chato. Vipo mkabala na barabara kuu iendayo Bukoba. Pembezoni mwa Ziwa Victoria.

Viwanja vilivyopimwa na kupangwa kwa ajili ya makazi vina ukubwa kama ifuatavyo;
  1. Ujazo wa juu (High density) 
  2. Ujazo wa kati (Medium density)
  3. Ujazo wa chini (Low density)