Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Wednesday 26 February 2020

BENKI YA NBC YAFANIKIWA KUTOA HUDUMA ZA MATIBABU BILA MALIPO KWA WATU MILIONI 3.3

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dr Faustine Ndungulile akisalimiana na Afisa Masoko Tawi la NBC Samora, Dustane Lipawaga akiwa na Meneja Uhusiano wa Benki ya Kibiashara ya NBC, William Kallaghe (kulia) na Meneja Huduma za Jamii, Irene Peter wakati wa maadhimisho ya miaka 55 ya Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) yaliyofanyika hivi karibuni yakihudhuriwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dr Faustine Ndungulile (wa watu kushoto) akipata maelezo kutoka kwa Meneja Uhusiano wa Benki ya Biashara ya NBC, William Kallaghe (kulia), wengine ni Afisa Masoko Tawi la NBC Samora, Dustane Lipawaga (kushoto), na Meneja Huduma za Jamii, Irene Peter wakati wa maadhimisho ya miaka 55 ya Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) yaliyodhaminiwa na Benki ya NBC. Katika hafla hiyo mgeni rasmi alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli. Hafla hiyo imefanyika hivi karibuni katika Ukumbi wa mikutano wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Askofu wa Kanisa la Mennonite, Dayosisi ya Mashariki na Pwani, Askofu Nelson Kisare akielezea jambo kwa kwa Meneja Uhusiano wa Benki ya Kibiashara ya NBC, William Kallaghe (wa pili kulia), wengine ni Afisa Masoko Tawi la NBC Samora, Dustane Lipawaga (kulia) na Meneja Huduma za Jamii Irene Peter (kushoto) wakati wa maadhimisho ya miaka 55 ya Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) yaliyofanyika hivi karibuni. 

No comments:

Post a Comment