Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Tuesday 3 December 2019

TANZANIA NA NAMIBIA ZAJIZATITI KUKUZA BIASHARA BAINA YAO

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akisalimiana na Waziri wa Uhusiano na Ushirikiano wa Kimataifa wa Namibia, Mhe. Netumbo Nandi-Ndaitwah mara baada ya Mhe. Nandi-Ndaitwah kuwasili katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere kwa ajili ya kushiriki mkutano wa Tume ya Kudumu ya Pamoja ya Ushirikiano (JPC) kati ya Tanzania na Namibia.
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Uhusiano na Ushirikiano wa Kimataifa wa Namibia, Mhe. Netumbo Nandi-Ndaitwah akisalimiana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Faraji K. Mnyepe.
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Uhusiano na Ushirikiano wa Kimataifa wa Namibia, Mhe. Netumbo Nandi-Ndaitwah akiangalia picha za matukio ya wapigania uhuru wa nchi za Kusini mwa Afrika ikiwemo Namibia.

Continue Reading >>>

No comments:

Post a Comment