Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Monday 27 June 2016

WAZIRI MWIJAGE AKAGUA MAANDALIZI MAONESHO YA 40 YA BIASHARA YA KIMATAIFA YA DAR ES SALAAM

Maandalizi ya mwisho mwisho ya Maonyesho ya 40 ya Kimataifa ya Dar es Salaam, yamepamba moto, ambapo Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhe. Charles Mwijage, amefanya ziaa ya kukagua maandalizi hayo. Pichani ni Waziri Mwijage akikagua maandalizi kwenye moja ya mabanda. Kulia ni Kaimu Mkuugenzi wa Tantrade, Edwin Rutageruka. Maonyesho hayo yanaanza kesho tatehe 28/6 - 8/7/2016.
Michuzi Blog

No comments:

Post a Comment