Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Saturday 28 March 2015

RAIS WA ZIMBABWE, ROBERT MUGABE AWASILI JIJINI ARUSHA, KUFUNGUA KOGAMAO LA 3 LA VIONGOZI VIJANA WA AFRIKA NA CHINA LEO

Makamu wa Rais Dk Gharib Bilal akizungumza jambo na Rais wa Zimbabwe, Mh.Robert Mugabe mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa KIA, mapema leo mchaa. Rais Mugabe anatarajiwa kufungua Kongamano la Viongozi Vijana wa Afrika na China litakaloanza leo mjini Arusha.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiteta jambo na Rais wa Zimbabwe, Mh. Robert Mugabe mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa KIA mapema leo mchana. Rais Mugabe anatarajiwa kufungua Kongamano la Viongozi Vijana wa Afrika na China litakaloanza leo mjini Arusha.
Makamu wa Rais Dk Gharib Bilal akimpomkea mgeni wake, Rais wa Zimbabwe, Mh.Robert Mugabe mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa KIA, mapema leo mchana. Rais Mugabe anatarajiwa kufungua Kongamano la Viongozi Vijana wa Afrika na China litakaloanza leo mjini Arusha.
Baadhi ya Wanahabari wakihangaika kupata taswira ya kuwasili kwa Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe ambaye alipokelewa na Makamu wa Rais Dkt. Gharib Bilal na viongozi mbalimbali wa Kitaifa na Kidini.


Bofya hapa kwa picha zaidi

No comments:

Post a Comment