Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Thursday 21 December 2023

VODACOM YAENDESHA MAFUNZO YA MASOMO YA TEHAMA

Meneja Rasilimali Watu wa Vodacom Tanzania PLC, Bw. Naiman Moshi (kulia) akikabidhi cheti cha kuhitimu mafunzo ya masomo ya TEHAMA na Sayansi kwa mwanafunzi aliyehitimu kidato cha nne shule ya sekondari ya Sangu, Bi. Witness Charles Mwambelo, yaliyofanyika jijini Mbeya mwishoni mwa wiki. Kupitia programu yake inayojulikana kama ‘Code Like a Girl’ kwa kushirikiana na Tanzania Data Lab (dLab), imefanikisha mafunzo ya Tehama na Coding kwa wanafunzi wa kike zaidi ya 2000 nchini pamoja na kuwapa ushauri wa kitaaluma ili kuwajenga kimasomo vijana hao.
Meneja Rasilimali Watu wa Vodacom Tanzania PLC, Bw. Naiman Moshi (kulia) akikabidhi cheti cha kuhitimu mafunzo ya masomo ya TEHAMA na Sayansi kwa mwanafunzi aliyehitimu kidato cha nne shule ya sekondari ya Samoja, Bi. Sarafina Mussa Sanga yaliyofanyika jijini Mbeya mwishoni mwa wiki. Kupitia programu yake inayojulikana kama ‘Code Like a Girl’ kwa kushirikiana na Tanzania Data Lab (dLab), imefanikisha mafunzo ya Tehama na Coding kwa wanafunzi wa kike zaidi ya 2000 nchini pamoja na kuwapa ushauri wa kitaaluma ili kuwajenga kimasomo vijana hao.
Walimu na wanafunzi wakifuatiliamafunzo ya 'coding' kupitia programu ya Vodacom Tanzania inayojulikana kama 'Code Like a Girl' yaliyofanyika katika chuo cha TEKU mwishoni mwa wiki jijini Mbeya. Kupitia programu yake inayojulikana kama ‘Code Like a Girl’ kwa kushirikiana na Tanzania Data Lab (dLab), imefanikisha mafunzo ya Tehama na Coding kwa wanafunzi wa kike zaidi ya 2000 nchini pamoja na kuwapa ushauri wa kitaaluma ili kuwajenga kimasomo vijana hao.

No comments:

Post a Comment