Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Tuesday 30 May 2023

GAVANA WA BOT AKUTANA NA UMOJA WA MABENKI TANZANIA

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Emmanuel Tutuba amekutana na Umoja wa Mabenki Tanzania (TBA) unaoongozwa na Theobald Sabi, ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) na kujadiliana masuala mbalimbali kuhusu sekta ya Benki nchini.



No comments:

Post a Comment