Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Wednesday 22 January 2020

BENKI YA EXIM YATOA MSAADA WA TAULO ZA KIKE KWA WANAFUNZI WA SEKONDARI MKOANI IRINGA

Meneja wa Benki ya Exim tawi la mkoa wa Iringa, Bw Michael Richard (Katikati) akikabidhi msaada wa taulo za kike kwa Mlezi wa wanafunzi wa kike wa Shule ya Sekondari ya Ruaha iliyopo mkoani humo Bi. Fatuma Tembo (kushoto kwake) ikiwa ni sehemu ya mpango wa benki hiyo wa uwajibikaji wa kwa jamii (CSR) unaofahamika kama Exim Cares. Wanaoshuhudia ni baadhi ya maofisa wa benki hiyo pamoja na baadhi ya wanafunzi wa shule hiyo.
Meneja wa Benki ya Exim tawi la mkoa wa Iringa, Bw Michael Richard (Katikati) akikabidhi msaada wa taulo za kike kwa Mlezi wa wanafunzi wa kike wa Shule ya Sekondari ya Ruaha iliyopo mkoani humo Bi. Fatuma Tembo (kushoto kwake) ikiwa ni sehemu ya mpango wa benki hiyo wa uwajibikaji wa kwa jamii (CSR) unaofahamika kama Exim Cares. Wanaoshuhudia ni baadhi ya maofisa wa benki hiyo pamoja na muwakilishi wa wanafunzi wa shule hiyo.
Maofisa wa Benki ya Exim tawi la mkoa wa Iringa, wakiongozwa na Meneja wa Tawi la benki hiyo mkoani humo Bw Michael Richard (Katikati) wakifurahi pamoja na wanafunzi Shule ya Sekondari ya Ruaha iliyopo mkoani humo baada ya kukabidhi msaada wa taulo za kike kwa wanafunzi hao ikiwa ni sehemu ya mpango wa benki hiyo wa uwajibikaji wa kwa jamii (CSR) unaofahamika kama Exim Cares.
Maofisa wa Benki ya Exim tawi la mkoa wa Iringa, wakiongozwa na Meneja wa Tawi la benki hiyo mkoani humo Bw Michael Richard (Katikati) wakiwa kwenye picha ya pamoja na wanafunzi Shule ya Sekondari ya Ruaha iliyopo mkoani humo baada ya kukabidhi msaada wa taulo za kike kwa wanafunzi hao ikiwa ni sehemu ya mpango wa benki hiyo wa uwajibikaji wa kwa jamii (CSR) unaofahamika kama Exim Cares.

No comments:

Post a Comment