Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Wednesday 9 October 2019

VODACOM YAWAPONGEZA WATEJA WAKE KOTE NCHINI

Mkurugenzi wa Biashara Vodacom Tanzania, Linda Riwa (kulia) akinyanyua juu Champagne kuzindua rasmi wiki ya huduma kwa wateja iliyofanyika kwenye duka la Voda makao makuu jijini Dar Es Salaam hivi karibuni. Pembeni yake ni Mkurugenzi wa Huduma kwa Wateja Vodacom, Harriet Lwakatare.
Mkurugenzi wa Huduma kwa Wateja Vodacom Tanzania, Harriet Lwakatare (kushoto) akizungumza na waandishi na wateja waliohudhuria siku ya huduma kwa wateja wa Vodacom Tanzania. Pia alitoa shukurani kwa wateja na wafanyakazi wa Vodacom kwenye wiki hii na alitoa wito kwa wateja wasajili laini zao kwa alama ya vidole kote nchini. Kulia ni George Lugata, Mkuu wa Idara ya Mauzo na Usambazaji wa kampuni hiyo.
Mkurugenzi wa Huduma kwa Wateja Vodacom Tanzania, Harriet Lwakatare akimlisha keki mmoja kati ya wateja waliokuwepo dukani siku hiyo.


No comments:

Post a Comment