Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Monday 1 June 2015

TIGO YADHAMINI MASHINDANO YA MBUZI

Meneja Mawasiliano wa kampuni ya simu za mkononi ya Tigo, John Wanyancha akipata huduma katika banda la Tigo, wakati wa tamasha la mbio za mbuzi (Goat Races), zilizofanyika jijini Dar es Salam Jumamosi ili kukusanya pesa za kusaidia jamii.
Watoto wakicheza katika puto maalum la Tigo (Jumping Castle) wakati wa tamasha la mbio za mbuzi (Goat Races) lililofanyika jijini Dar es Salaam Jumamosi.
Vijana wakiingiza mbuzi katika eneo la kukimbilia wakati wa tamasha la mbio za mbuzi (Goat Races) lililofanyika jijini Dar es Salaam Jumamosi.
Vijana wakikimbiza mbuzi ili kupata mshindi wa mbio hizo wakati wa tamasha la mbio za mbuzi (Goat Races) lillilofanyika jijini Dar es Salaam Jumamosi.
Meneja Mawasiliano wa kampuni ya simu za mkononi ya Tigo, John Wanyancha akikabidhi hundi kwa mmiliki wa mbuzi aliyeshinda, Mark Golding kutoka kampuni ya PM Group.

No comments:

Post a Comment