Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Wednesday 21 January 2015

BENKI YA NBC YAMWAGA MILIONI 62 KUSAIDIA MRADI WA USIMAMIZI WA TAKA

Meneja Miradi wa Envirocare, Bw Isreal Richard (kulia) akizungumza wakati wa ufunguzi wa semina ya siku moja ya mradi wa majaribio wa usimamizi wa taka kwa utunzaji mazingira na ustawi wa jamii jijini Dar es Salaam leo. Mradi unaendeshwa na Envirocare kwa ufadhili wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC).

Ofisa Afya Mazingira wa Manispaa ya Kinondoni, Kawa Kafuru (kulia) akizungumza na washiriki wa semina hiyo.

Baadhi ya washiriki wa semina hiyo.

Diwani wa Kata ya Makuburi, William Mwangwa (kulia) akishiriki semina hiyo kuhusu usimamizi wa taka kwa utunzaji mazingira na ustawi wa jamii iliyofanyika Makongo, Dar es Salaam leo.

Baadhi ya washiriki wa semina hiyo wakiweka kumbukumbu za mada mbalimbali zilizokuwa zikiwasilishwa.

No comments:

Post a Comment