Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Thursday 18 December 2014

BENKI YA NBC YAKABIDHI BODABODA KWA MSHINDI WA PROMOSHENI YA 'WEKA UPEWE' KARATU

Kaimu Meneja wa Benki ya NBC Tawi la Karatu, Wende Lyimo (wa pili kulia) akikabidhi zawadi ya bodaboda kwa mmoja wa washindi wa promosheni ya weka upewe, Mchungaji Christopher Kingo, katika hafla iliyofanyika tawini hapo, Karatu hivi karibuni. Wanaoshuhudia ni baadhi ya wateja wa benki hiyo na mfanyakazi wa benki hiyo, Kalist Masika (kulia).

No comments:

Post a Comment