Foreign Exchange Rates

CRDB Bank Advert_070325

Selcom Pesa Advert_110225

Selcom Pesa Advert_110225

Standard Chartered Advert_300125

Standard Chartered Advert_300125

Tuesday, 17 June 2025

REKODI ZA MAPATO, GAWIO LA NMB VYATIKISA KONGAMANO LA UWEKEZAJI ZANZIBAR

Na Mwandishi Wetu, Pemba

Benki ya NMB imeonesha nguvu yake ya kifedha kwa kushiriki kwa kishindo katika Kongamano la Uwekezaji Zanzibar, lililoratibiwa na Mamlaka ya Uwekezaji Zanzibar (ZIPA), kwa kutoa wito kwa wawekezaji wa ndani na nje kushirikiana katika Mapinduzi ya Kiuchumi Visiwani humo.

Uimara wa NMB: Zaidi ya Bilioni 1.1 za Marekani

Mkuu wa Kitengo cha Miamala ya NMB, Bi. Linda Teggisa, aliwaeleza wawekezaji zaidi ya 1,000 waliokusanyika kutoka Zanzibar, Tanzania Bara na mataifa mengine kuwa benki hiyo ina mtaji wa takribani USD 1.1 bilioni, na hivyo kuifanya kuwa benki kubwa zaidi Tanzania na ya pili kwa ukubwa Afrika Mashariki.

Aidha, NMB ni miongoni mwa taasisi chache za kifedha barani Afrika zilizoko kwenye “Klabu ya Kampuni Zenye Thamani ya Dola Bilioni Moja”, huku ikiwa imeweka rekodi ya faida baada ya kodi ya Shilingi Bilioni 643, pamoja na kulipa gawio la Shilingi Bilioni 214 kwa Serikali.

Mchango wa NMB Katika Uchumi wa Buluu

Bi. Linda alibainisha kuwa benki hiyo inaendelea kuunga mkono jitihada za Serikali ya Zanzibar katika kukuza Uchumi wa Buluu, kwa kutoa huduma na masuluhisho maalum ya kifedha kwa wawekezaji wa viwango vyote.

Asilimia 96 ya miamala ya NMB sasa inafanyika kidijitali, tukitumia teknolojia ya kisasa kutoa huduma kwa watu binafsi, kampuni kubwa na taasisi za serikali,” alieleza Linda.

Pia alisisitiza kuwa NMB ina uwezo mkubwa wa kusaidia kutekeleza Mipango Mkakati ya Serikali ya Zanzibar, hususan kuboresha maeneo ya uwekezaji kama Micheweni.

Wawekezaji wa Kimataifa Wavutiwa

Mwanzilishi wa Cocco Lagoon, Bw. Grzegorz Adamczak, alisema NMB ni benki iliyojipambanua hadi kufikia kuvutia wawekezaji wa kimataifa:

Kwa rekodi na tuzo walizopata, NMB imejijengea heshima kubwa kimataifa na ni mshirika mzuri kwa wajasiriamali na wawekezaji wote.”

NMB BANK'S FINANCIAL STRENGTH AND DIVIDEND PAYOUT IMPRESS AT ZANZIBAR INVESTMENT SUMMIT

By Our Correspondent, Pemba

NMB Bank has reassured both small and large-scale investors of its robust financial standing, positioning itself as a key enabler in Zanzibar’s economic transformation and the broader Tanzanian economy. The bank made this affirmation during the Zanzibar Investment Forum organized by the Zanzibar Investment Promotion Authority (ZIPA).

Speaking during the high-level gathering, which attracted over 1,000 investors from across Zanzibar, Mainland Tanzania, and Africa, Linda Teggisa, Head of NMB Transactional Banking, highlighted the bank’s unwavering support toward enhancing investment and growing the Blue Economy.

"We are leveraging this platform to showcase NMB's capacity to provide financial solutions for individual clients, large corporations, and government institutions," said Teggisa.

STRONG FINANCIAL STANDING

Teggisa emphasized NMB’s inclusion in the global billion Dollar club, its TZS 643 billion post-tax profit, and a TZS 214 billion dividend issued to the Tanzanian government. The bank's exceptional performance has also been recognized internationally, with accolades from Euromoney and Global Business and Finance.

She noted that NMB’s capital base, now standing at approximately USD 1.1 billion, makes it the largest bank in Tanzania and second-largest in East Africa. The bank has made significant investments in technology, enabling 96% of its transactions to be carried out digitally.

"We lead in providing financial solutions in the country and have the strength to support investment and drive the strategic plans of the Zanzibar government, especially in boosting investment zones,” she added.

 

GLOBAL ENTREPRENEURS TAKE NOTICE

Grzegorz Adamczak, CEO of Cocco Lagoon and an international entrepreneur, commended NMB’s reputation and international appeal.

Their track record and global recognition make them an ideal partner for any investor,” he noted. “NMB stands out as the bank of choice for entrepreneurs looking to grow in this region.”

INDUSTRY EXPERTS PRAISE NMB’S IMPACT

Other notable speakers included Safari Fungo from the International Trade Center and Emilian Busara, a financial advisor. Both highlighted NMB’s proactive role in empowering investors and advancing the national economy.

NBC DODOMA MARATHON YAZIDI KUNG'ARA: GSM KUSAMBAZA MAJI, VINYWAJI BARIDI KWA WASHIRIKI

Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya mbio za NBC Dodoma Marathon, Bi Tatiana Masimba (wa pili kulia) na Mkuu wa Kitengo cha Biashara na Masoko wa Kampuni ya GSM Group, Bw Rajab Kondo (wa pili kushoto) wakionesha hati ya makubaliano ya ushirikiano wa taasisi hizo mbili ambapo kampuni ya GSM Group kupitia kampuni yake tanzu ya GSM Beverages itakuwa mdau mkubwa wa huduma ya maji na vinywaji baridi katika msimu wa sita wa mbio hizo zinazotarajiwa kufanyika Julai 27 mwaka huu jijijni Dodoma. Hafla ya kusaini makubaliano hayo imefanyika leo jijini Dar es Salaam. Wengine ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Umma wa Benki ya NBC, Bw Godwin Semunyu (kulia) na Mkurugenzi wa Kampuni ya GSM Beverages Bw Ibrahim Jamal (kushoto).
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya mbio za NBC Dodoma Marathon, Bi Tatiana Masimba (wa pili kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa hafla fupi ya kutambulisha rasmi na kuitangaza kampuni ya GSM Group kupitia kampuni yake tanzu ya GSM Beverages kama mdau wake mkubwa wa huduma ya maji na vinywaji baridi katika msimu wa sita wa mbio hizo zinazotarajiwa kufanyika Julai 27 mwaka huu jijijni Dodoma.

Dar es Salaam, Juni 17, 2025 – Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imetangaza rasmi kampuni ya GSM Group, kupitia kampuni tanzu ya GSM Beverages, kuwa mdau wake mkubwa wa huduma ya maji na vinywaji baridi katika msimu wa sita wa mbio za NBC Dodoma Marathon, zitakazofanyika Julai 27, 2025, jijini Dodoma.

Kupitia taasisi yake ya GSM Foundation, GSM Group pia itashiriki moja kwa moja katika kufadhili agenda kuu za mbio hizo:

  • Kuendeleza mapambano dhidi ya saratani ya shingo ya kizazi
  • Kupanua idadi ya wakunga wanaofadhiliwa hadi 200
  • Kuanza mpango mpya wa kufadhili masomo ya wauguzi 100 kwa ajili ya watoto wenye changamoto za usonji (autism)

Ushirikiano Rasmi Watangazwa

Makubaliano hayo ya ushirikiano yalisainiwa leo jijini Dar es Salaam kati ya maofisa wa NBC na GSM Group. Bw. Godwin Semunyu, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano NBC, na Bw. Rajab Kondo, Mkuu wa Biashara na Masoko GSM Group, waliwakilisha taasisi zao.

Akizungumza wakati wa utiaji saini, Bw. Semunyu alisema:

GSM Group wameona umuhimu wa ajenda hizi muhimu za kijamii na wameamua kuwa sehemu ya safari hii ya mabadiliko. Lengo ni kukusanya zaidi ya TSh milioni 700 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi hii.”

Zaidi ya hayo, GSM Group watatoa maji na vinywaji baridi kwa washiriki zaidi ya 12,000 wa NBC Marathon 2025.

Mafanikio ya Awali na Malengo ya Mwaka Huu

Katika miaka mitano ya uhai wa NBC Marathon, zaidi ya TSh bilioni 1 zimekusanywa ambapo zaidi ya asilimia 80 zimeelekezwa katika kupambana na saratani ya shingo ya kizazi kupitia ushirikiano na Taasisi ya Saratani ya Ocean Road.

Tayari tumefanikisha matibabu kwa wanawake 3,000, ambapo 1,800 wamepona kabisa,” alisema Bw. Semunyu.
Tumeweza pia kufadhili wakunga 100 kwa kushirikiana na Benjamin Mkapa Foundation, na mwaka huu tunapanua hadi kufikia 200.”

BENKI YA NMB YAENDELEA KUWEZESHA WAFUGAJI KUPITIA MIKOPO YENYE TIJA

CHALINZE, BAGAMOYO: Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesisitiza dhamira yake ya kuhakikisha wafugaji nchini wanajengewa uwezo wa kufanya ufugaji wa kisasa wenye tija kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa sekta ya mifugo kutoka ndani na nje ya nchi.

Maonesho ya Tatu ya Mifugo ya Nchi Tatu 2025 Yazinduliwa

Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Alexander Mnyeti, wakati wa uzinduzi wa Maonesho ya Tatu ya Mifugo ya Nchi Tatu 2025 yaliyoandaliwa na Kampuni ya Mbogo Ranches kwa udhamini wa Benki ya NMB Plc katika Kijiji cha Ubena Zomozi, Halmashauri ya Chalinze, mkoani Pwani.

Kaulimbiu ya maonesho hayo ilikuwa “Kujenga Ushirikiano, Kukuza Kilimo”, na yaliwaleta pamoja wafugaji kutoka Tanzania, Kenya na Namibia, pamoja na mabalozi na wakuu wa mashirika ya kidiplomasia akiwemo Balozi wa Kenya nchini Tanzania, Bw. Isaac Njenga, na Kamishna Mkuu wa Namibia, Bw. Lebbius Thobias.

Serikali: Ufugaji wa Asili Hauleti Tija

Akizungumza katika hafla hiyo, Mhe. Mnyeti alieleza kuwa:

Asilimia takribani 97 ya ng’ombe waliopo nchini ni wa asili, wanaozalisha kilo 80 hadi 120 za nyama kwa ng’ombe mmoja, na maziwa lita moja hadi tatu kwa siku. Uzalishaji huu hauna tija, hivyo Serikali inashirikiana na wadau kuleta mapinduzi katika sekta hii.”

NMB Yachangia TZS Bilioni 100 kwa Wafugaji

Kwa upande wake, Mkuu wa Idara ya Biashara wa Benki ya NMB, Bw. Msolo Mlozi, alieleza kuwa benki hiyo imetoa mikopo yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 100 kwa wafugaji nchini kwa madhumuni mbalimbali kama:

  • Kununua na kunenepesha mifugo
  • Kununua chakula bora cha mifugo
  • Kujenga miundombinu ya maji
  • Kununua mifugo ya kisasa yenye tija

Tunatambua changamoto kama ukosefu wa maji na chakula wakati wa kiangazi, magonjwa ya mifugo, na ukosefu wa makazi ya kudumu kwa wafugaji. Mikopo yetu inasaidia kutatua changamoto hizi,” alisema Bw. Mlozi.

NMB BANK SUPPORTS LIVESTOCK SECTOR THROUGH MODERN BREEDING INITIATIVES

CHALINZE, TANZANIA: The Government of Tanzania has reaffirmed its commitment to revolutionizing the livestock sector by promoting modern animal breeding practices. Through strategic collaboration with domestic and international stakeholders, the aim is to enhance productivity and profitability for livestock keepers across the country.

Tri-Nations Livestock Expo 2025: A Platform for Innovation and Partnership

This declaration was made by the Deputy Minister for Livestock and Fisheries, Mr. Alexander Mnyeti, during the launch of the 3rd Tri-Nations Livestock Expo 2025 held at Ubena Zomozi Village in Chalinze, Bagamoyo District. Themed “Building Partnerships, Advancing Agriculture,” the event brought together ranchers from Tanzania, Kenya, and Namibia, with strong support from NMB Bank Plc and coordination by local agribusiness firm Mbogo Ranches.

The high-profile exhibition featured participation from senior diplomats including Kenya’s Ambassador to Tanzania, Mr. Isaac Njenga, and Namibia’s High Commissioner, Mr. Lebbius Thobias, alongside exhibitors showcasing agricultural technologies and products.

Government Push for Productive Breeds

Highlighting the urgent need for transformation in livestock production, Mr. Mnyeti stated:

About 97 percent of cows in our country are indigenous breeds, producing only 80 to 120 kilograms of meat per animal and just one to three litres of milk per day. This low productivity offers little profit for farmers. That’s why the Government is partnering with stakeholders to drive a revolution in livestock breeding.”

 

Financial Empowerment from NMB Bank

Speaking at the event, Mr. Nsolo Mlozi, NMB’s Head of Agribusiness, announced that the bank has disbursed over TZS 100 billion in loans to livestock keepers nationwide. The funds have supported activities such as:

  • Livestock fattening
  • Procurement of high-quality animal breeds
  • Construction of modern infrastructure
  • Investment in animal feed and water solutions

We understand the critical challenges farmers face—ranging from drought-related feed and water scarcity, diseases, low-output indigenous breeds, to lack of permanent settlements. Our financial support helps farmers overcome these barriers and improve productivity,” Mr. Mlozi emphasized.

TANZANIA STRENGTHENS GOLD RESERVES STRATEGY THROUGH KEY REFINING AND MINING AGREEMENTS

DODOMA, TANZANIA: In a landmark move to bolster the country’s foreign reserves and enhance the value of its mineral resources, the Government of the United Republic of Tanzania has signed pivotal gold purchase and refining agreements with key mining companies and the Geita Gold Refinery (GGR). The initiative, led by the Bank of Tanzania (BoT), marks a significant milestone in the nation’s effort to deepen its domestic gold market and secure strategic economic assets.

Gold Purchase Program Anchored in Law

Speaking at the signing ceremony held at the Kambarage Hall in Treasury Square, Dodoma, Minister for Finance, Dr. Mwigulu Nchemba, emphasized that the move is in direct alignment with Section 59 of the Mining Act. The law requires mining companies to set aside 20% of their production for sale within local markets—giving the Bank of Tanzania first legal right of purchase.

“This step ensures reliable sourcing for BoT's gold buying program and supports domestic gold refineries in meeting international certification standards such as those of the London Bullion Market Association (LBMA),” noted Dr. Nchemba.

Boosting Reserves and National Self-Sufficiency

According to the Minister, the initiative reflects the strategic vision of President Dr. Samia Suluhu Hassan to accumulate adequate foreign currency reserves, increase the mining sector's contribution to GDP, and promote local value addition in mineral processing.

To date, the Bank of Tanzania has purchased 5 metric tonnes of gold, valued at USD 554 million—surpassing its target of USD 350 million. This is a historic achievement for our nation,” Dr. Nchemba stated.

He affirmed that with continued implementation, the BoT is on course to meet its 2024/25 fiscal year target of purchasing 6 metric tonnes of gold, helping solidify Tanzania’s foreign reserve position.

Long-Term Economic Impact

Minister Nchemba called on all stakeholders to sustain this government strategy, highlighting that gold prices have continued to rise globally—making gold an increasingly strategic reserve asset.

Minister of Minerals, Antony Mavunde, added that the mining sector’s contribution to GDP has grown from 9.0% in 2015 to 10.1% in 2024/25. Government revenues from mining have similarly risen from TZS 162 billion annually to over TZS 753 billion, with ambitions to reach TZS 1 trillion.

This progress is a direct result of President Samia’s directive to increase value addition and deepen the role of mining in the national economy,” Minister Mavunde said.

Bank of Tanzania: A Strategic Gold Buyer

Bank of Tanzania Governor Emmanuel Tutuba explained that the Gold Purchase Program, launched in the 2022/23 fiscal year, forms part of Tanzania’s broader strategy to reduce reliance on external debt and build sustainable reserves.

As of June 13, 2025, BoT has acquired 5,022.85 kilograms of pure gold—equivalent to USD 554.28 million—well above the 2024/25 goal of USD 350 million,” Governor Tutuba stated.

Monday, 16 June 2025

FROM POLICY TO PRACTICE: HOW LOCAL GOVERNMENTS ARE EMBRACING RESPONSIVE PARENTING

Denis Mguye, Arusha’s Regional Social Welfare Officer and Early Childhood Development (ECD) Coordinator, has seen something remarkable take shape in recent years—a transformation that’s reshaping families, communities, and futures across the Arusha Region.

“Fathers are standing beside their partners at clinics—something unimaginable just a few years ago,” says Mguye.

What’s driving this change? A powerful initiative called Mzazi Hodari—meaning “champion parent”—is leading the way.


A Groundbreaking Approach to Caregiving

Mzazi Hodari is a two-year initiative that’s empowering local governments, health providers, and families to adopt responsive caregiving practices. More than a policy intervention, it’s turning vision into tangible action—especially at the grassroots level.

For the first time ever, several Local Government Authorities (LGAs) in Arusha are preparing to include ECD interventions in their official budgets starting in the next financial year.

“This isn’t just about compliance,” says Mguye. “It’s about recognizing caregiving and child development as central to a thriving region.”


Alignment with National Priorities

This transformation aligns with the Comprehensive Council Social Welfare Operational Planning and Reporting Guideline (CCSWOPG), launched by the Tanzanian government in 2022. The guideline strengthens collaboration between government, partners, and communities across various social welfare sectors—including early childhood care.

While previous programs such as Malezi III helped lay important groundwork, Arusha’s ECD team saw a gap: communities needed a practical, relatable, peer-driven approach. Mzazi Hodari delivered just that.


Community-Led Change

The initiative uses peer-to-peer learning, localized messages, and real-life storytelling to promote responsive parenting. It’s not about experts lecturing—it's neighbors, relatives, and friends helping each other shift perspectives.

“We’ve seen firsthand how this approach empowers parents to lead the change themselves,” Mguye explains.

TANZANIA YAZINDUA KAMPENI YA KITAIFA YA UHAMASISHAJI WA NISHATI YA UMEME KUPIKIA

Mhandisi Innocent Luoga (Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Wizara ya Nishati) akizindua kampeni iitwayo Pika Smart kwa ajili ya kuhamasisha matumizi ya upishi wa kielektroniki (e-cooking) nchini Tanzania, katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam tarehe 13 Juni 2025. Wa kwanza kushoto ni Mhandisi Henfried Byabato (Mkurugenzi wa Mipango, Utafiti na Maendeleo ya Biashara), na wa pili kushoto ni Dkt. Hawa Mwechaga, Mkurugenzi kutoka Ofisi ya Rais – TAMISEMI.

Dar es Salaam, 13 Juni 2025
Wizara ya Nishati, kwa ushirikiano na Modern Energy Cooking Services (MECS) na UK International Development, imezindua rasmi Kampeni ya Kwanza ya Kitaifa ya Uhamasishaji wa Nishati ya Umeme Kupikia (eCooking) nchini Tanzania.

Mpango huu wa kihistoria ni sehemu ya juhudi za kuharakisha mabadiliko kutoka matumizi ya kuni na mkaa kuelekea matumizi ya umeme kwa shughuli za kupikia — ukiwa sehemu muhimu ya Mpango wa MECS unaofadhiliwa na UKAid. Lengo kuu ni kuchochea matumizi ya nishati safi kupikia kupitia mbinu za kisasa, nafuu na endelevu.

Mchango kwa Mpango wa Kitaifa wa Nishati Safi Kupikia

Kampeni hii inaunga mkono Mkakati wa Kitaifa wa Nishati Safi wa Kupikia wa 2024–2034, ambao unalenga kuhakikisha asilimia 80 ya kaya nchini zinatumia nishati safi ifikapo mwaka 2034. Katika awamu ya kwanza, kampeni inalenga kuwafikia wakazi wa mijini na maeneo ya pembezoni mwa miji kwa kiwango cha asilimia 80 kufikia Novemba 2025, kwa kuwapa elimu juu ya faida za eCooking.

Kauli za Viongozi na Wadau

Mhe. Angellah Kairuki

Mshauri Maalum wa Rais wa Masuala ya Nishati Safi ya Kupikia na Maendeleo ya Jamii

Mabadiliko haya si tu ya nishati — ni ya kiafya, kimazingira, kiuchumi na kijinsia. Kupitia kampeni hii, tunapiga hatua jasiri ya kuleta suluhisho la kupikia linalowezesha maisha bora, hususan kwa wanawake na watoto.”

Dkt. Anna Clements

Mtafiti Mkuu, Mpango wa MECS nchini Tanzania

Tunasaidia mazingira ya kuchochea uchaguzi wa kupikia kwa umeme kuwa wa kuvutia zaidi, pasipo kuathiri mila na desturi.”

Mhe. Marianne Young

Balozi Mkazi wa Uingereza nchini Tanzania, kwa niaba ya UK International Development

Kampeni hii ni muhimu kwa afya, usawa wa kijinsia, na vita dhidi ya mabadiliko ya tabianchi. Tunahamasisha kila mtu kushiriki kusambaza uelewa huu.”

NBC, MBOGO RANCHES ZASAINI MAKUBALIANO YA UTOAJI MIKOPO YA MBEGU BORA YA MIFUGO

Mkurugenzi wa Idara ya Wateja Wadogo na Wakubwa wa Benki ya NBC, Elibariki Masuke (kushoto) na Mkurugenzi kampuni ya Mbogo Ranches, Bw Naweed Mulla (kulia) wakijipongeza mara baada ya kusaini hati ya makubaliano ya ushirikiano wa pamoja yanayotoa fursa kwa wafugaji nchini kuweza kunufaika kupitia upatikanaji wa mikopo rafiki kutoka benki hiyo kwa ajili ya ununuzi wa mbegu bora za kisasa za mifugo ikiwemo ng’ombe, mbuzi na kondoo inayozalishwa na kampuni ya Mbogo Ranches.

Chalinze, Pwani – Juni 15, 2025
Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imechukua hatua muhimu katika kuunga mkono sekta ya mifugo nchini kwa kusaini makubaliano ya ushirikiano na Kampuni ya Mbogo Ranches. Ushirikiano huu unalenga kuwezesha wafugaji kunufaika kupitia upatikanaji wa mikopo rafiki kwa ajili ya ununuzi wa mbegu bora za kisasa za mifugo ikiwemo ng’ombe, mbuzi, na kondoo.

Makubaliano hayo yalisainiwa katika hafla fupi iliyofanyika kwenye Maonesho ya Mifugo ya Kimataifa ya Mbogo 2025 yaliyodumu kwa siku mbili katika Viwanja vya Maonesho vya Ubena Zomozi, Chalinze mkoani Pwani.


Kuongeza Upatikanaji wa Mbegu Bora kwa Wafugaji

Kwa upande wa NBC, makubaliano yalisainiwa na Bw. Elibariki Masuke, Mkurugenzi wa Idara ya Wateja Wadogo na Wakubwa, aliyemwakilisha Mkurugenzi Mtendaji wa NBC, Bw. Theobald Sabi. Mbogo Ranches iliwakilishwa na Mkurugenzi wake, Bw. Naweed Mulla.

Akizungumza katika hafla hiyo, Bw. Masuke alisema kuwa hatua hiyo ni muendelezo wa jitihada za NBC katika kuleta mapinduzi ya kijani kupitia uchumi jumuishi unaochochewa na huduma rasmi za kifedha.

“Kupitia makubaliano haya, wafugaji watakaovutiwa na mbegu yoyote ya mifugo kutoka Mbogo Ranches wanaweza kufika kwenye tawi lolote la NBC na kuomba mkopo. Tutawasaidia kununua kwa bei ile ile ya shambani, na malipo yatafanyika kwa utaratibu wa kidogo kidogo,” alieleza Bw. Masuke.


Kupunguza Changamoto za Gharama Kubwa kwa Wafugaji

Bw. Mulla aliipongeza NBC kwa kuibua fursa hii muhimu, akibainisha kuwa mikopo hiyo ni suluhisho kwa wafugaji wengi waliokuwa wanashindwa kumudu gharama kubwa za mbegu bora.

“Mbegu hizi zina gharama kutokana na uagizaji kutoka nje ya nchi na matunzo ya hali ya juu. Wafugaji wengi huishia kutumia mbegu duni ambazo hazileti tija. Kupitia NBC, sasa wanaweza kumiliki mbegu bora kwa mikopo nafuu,” alisema Bw. Mulla.


Wito kwa Wafugaji: Rasimisheni Shughuli Zenu

Katika hotuba yake, Bw. Mulla alisisitiza umuhimu wa ufugaji wa kisasa na kurasimisha shughuli za wafugaji kupitia usajili wa biashara, akaunti rasmi za kibenki, na umiliki wa Namba ya Mlipa Kodi (TIN).

AKIBA COMMERCIAL BANK PARTNERS WITH TIA FOR TREE-PLANTING INITIATIVE IN DAR ES SALAAM

Dar es Salaam, 13 June 2025 – In a powerful show of environmental stewardship, Akiba Commercial Bank Plc (ACB) has partnered with the Tanzania Institute of Accountancy (TIA) to plant 1,500 trees at TIA's Kurasini campus, marking a significant milestone in the bank’s Corporate Social Responsibility (CSR) agenda. The initiative reflects ACB’s enduring commitment to environmental conservation and community resilience.

The event was led by Ms. Wezi Mwazani, Chief Commercial Officer (CCO) at ACB - pictured above, who took part in the tree planting exercise, symbolizing the bank’s leadership in championing sustainable development.


Strengthening Partnerships for a Greener Tomorrow

Representing the bank at the event, Mr. Emmanuel Mseti, Senior Manager – Personal Banking, extended heartfelt appreciation to the leadership, staff, and students of TIA for their warm hospitality and cooperation.

“This exercise is a practical demonstration of our belief that protecting the environment is a shared responsibility. Our role goes beyond tree planting,” said Mr. Mseti. “We continue to champion eco-conscious banking through our digital services—such as ACB Mobile, Internet Banking, and Akiba Wakala—which improve efficiency, broaden access, and reduce paper use.”


Beyond Trees: A Holistic Approach to Sustainability

Mr. Mseti also highlighted the bank’s broader commitment to environmental initiatives, citing ongoing support for the maintenance and beautification of Independence Square Garden in Dodoma in collaboration with the city council. This, he noted, is part of ACB’s continued dedication to civic pride and environmental beautification.

In a call to action, Mr. Mseti encouraged TIA students to take responsibility for nurturing the newly planted trees, emphasizing their role as future custodians of the environment.

PUMA ENERGY YAPAA KWENYE SEKTA YA ANGA: YADHAMINI MKUTANO WA AVIADEV AFRICA 2025 ZANZIBAR

Zanzibar, Juni 15, 2025 – Katika kuonyesha uthabiti wa mchango wake katika maendeleo ya usafiri wa anga nchini, Puma Energy Tanzania imekuwa mdhamini mkuu wa AviaDev Africa 2025, mkutano wa kimataifa wa wadau wa sekta ya anga uliofanyika kuanzia Juni 11 hadi 13 katika Hoteli ya Golden Tulip, Zanzibar.

Tukio hilo liliwakutanisha wadau wakuu kutoka sekta za anga, utalii, biashara na sera barani Afrika, wakijadili njia bora za kuunganisha bara kwa njia ya anga, kukuza utalii na biashara, pamoja na matumizi ya teknolojia mpya kama akili mnemba (AI) katika upangaji wa mitandao ya safari.

Puma Energy: Mshirika wa Maendeleo ya Anga

Katika hotuba yake ya jioni, Mkurugenzi Mtendaji wa Puma Energy Tanzania, Bi. Fatma Abdallah, alielezea kwa kina mchango wa kampuni hiyo kama msambazaji wa mafuta ya ndege nchini.

“Usafiri wa anga ni kiungo muhimu cha maendeleo ya taifa,” alisisitiza Bi. Abdallah. “Tunajivunia kuwa wasambazaji pekee wa AvGas na mtoa huduma mkuu wa Jet A-1 nchini, tukichochea ukuaji wa utalii, biashara na uunganishwaji wa maeneo.”

Kwa sasa, Puma Energy inahudumia zaidi ya viwanja vya ndege nane vikuu nchini, vikiwemo JNIA (Dar es Salaam), KIA (Kilimanjaro), na Abeid Amani Karume (Zanzibar). Uwekezaji wa kampuni hiyo katika miundombinu ya kisasa ya kuhifadhia mafuta, mifumo salama ya maji, pamoja na magari ya kisasa ya kujaza mafuta umesaidia kuongeza ufanisi wa uendeshaji, usalama na uendelevu wa huduma.

Mchango wa Kijamii na Kiuchumi

Puma Energy Tanzania imekuwa na mchango mkubwa katika maeneo ya:

  • Ajira kwenye sekta za uhandisi na usafiri
  • Kukuza utalii wenye thamani ya zaidi ya USD bilioni 3
  • Kuwezesha biashara ya kimataifa kupitia huduma za mafuta kwa ndege za mizigo na abiria

Friday, 13 June 2025

VODACOM MARKS 25 YEARS WITH OVER TSH 2.5 TRILLION IN LOAN DISBURSEMENTS

DAR ES SALAAM; June, 11 2025 — Tanzania is celebrating 25 years of Vodacom Tanzania's service, a milestone marked by groundbreaking achievements in digital financial inclusion, including the disbursement of over TSh 2.5 trillion through term loan services that continue to uplift millions of Tanzanians.


Empowering Millions Through Digital Lending

Over six million customers benefited from services like Songesha overdraft in 2024 alone, while nearly 100,000 Vodacom agents accessed around TSh 1 trillion in term loans and overdrafts to fuel their businesses and sustain nationwide service availability.

According to Mr. Epimack Mbeteni, Vodacom’s M-Commerce Director, the telco is deeply committed to partnering with the government and key stakeholders to extend the reach of digital economy services across the country.

We will continue to work with the government and other stakeholders to ensure that a larger number of people utilise digital economy systems, addressing existing challenges and providing easy access to loans without collateral,”
Mr. Epimack Mbeteni

 


Financial Inclusion: From 9% to 76% in 25 Years

The impact of Vodacom's mobile financial services has been transformative. Financial inclusion in Tanzania has soared from 9% to approximately 76%, primarily due to mobile money innovations such as M-Pesa.

Mr. Mbeteni highlighted the company’s 40% market share, citing TCRA data as evidence of growing public trust.

We have transformed the lives of Tanzanians in the past 25 years and the next 25 will be even better.”

 


A Legacy of Connection and Service

Vodacom Tanzania’s Managing Director, Mr. Philip Besiimire, thanked the public for their unwavering support throughout the 25-year journey.

We have connected with people, businesses, and stakeholders and made a real difference in our communities. We are driving change and you have been a vital part of this journey.”

 


“Niko Nawe Tena Na Tena” – Celebrating with the People

To mark the anniversary, Vodacom launched a nationwide campaign dubbed “Niko nawe Tena na Tena”. Five branded caravans have been dispatched to different regions to deliver services directly to the people.

Ms. Brigita Shirima, Director of the Consumer Business Unit, reflected on the company's evolution:

Since we began communication services in 2000, with our first SMS sent, we have grown from one customer to 28 million today. From our first mobile money transaction in 2008, to leading the nation into 5G — we’ve journeyed hand-in-hand with Tanzanians.”

 


Stay Updated with Stories that Matter

As digital transformation reshapes Tanzania’s financial and telecom sectors, this blog remains your go-to source for reliable coverage, in-depth analysis, and policy insights.