Foreign Exchange Rates

Selcom Pesa Advert_110225

Selcom Pesa Advert_110225

Standard Chartered Advert_300125

Standard Chartered Advert_300125

DStv Advert_090724

DStv Advert_090724

Monday, 25 November 2024

UZINDUZI WA MASHINDANO YA VODACOM TANZANIA OPEN 2024

Mkuu wa wilaya ya Arumeru, Mhe. Amir Mkalipa akipiga mpira wa golf ikiwa ni alama ya uzinduzi wa mashindano ya Vodacom Tanzania Open 2024 ambapo mdhamini mkuu ni kampuni ya Vodacom Tanzania Plc. Wanaoshuhudia ni Rais wa Chama cha Golf Tanzania, Gilman Kasiga (wa kwanza kulia) na Mkuu wa Idara ya Suluhisho za Kibiashara (Enterprise Solution) wa kampuni hiyo, Ali Zuheri (wa pili kulia).

No comments:

Post a Comment