Foreign Exchange Rates

DStv Advert_090724

DStv Advert_090724

SBT Tanzania Advert_291123

Tuesday 17 September 2024

VODACOM YATANGAZA WASHINDI WA DROO YA SABA YA KAMPENI YA NI BALAA!

Mshindi wa wiki ya saba ya kampeni ya Vodacom Tanzania Plc ‘Ni Balaa, Kila Mtu ni Mshindi’ Elias Nakara (kushoto), akipokea mfano wa hundi ya shilingi laki tano kutoka kwa Mkuu wa Kanda ya Kaskazini wa Kampuni hiyo, George Venanty (kulia), katika Duka la Vodacom lililopo Jijini Arusha. Endelea kufanya miamala kwa kutumia M-pesa Super App au piga *150*00# pamoja na kununua vifurushi ili kujiongezea nafasi ya kushinda.
Meneja Masoko Kanda ya Kaskazini wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania Plc Sarah Mtawa (kulia) akimkabidhi mfano wa hundi ya Shilingi laki tano mshindi wa droo ya saba ya Kampeni ya Ni Balaa, Kila Mtu ni Mshindi Bw. Fred Lukumay (kushoto) katika Duka la Vodacom lililopo Jijini Arusha. Ili kuibuka mshindi endelea kufanya miamala kwa kutumia M-Pesa super App au kununua vifurushi kwa kupiga *150*00#
Ni Balaa! Mshindi wa droo ya saba ya kampeni ya Ni Balaa, Kila Mtu Ni Mshindi kutoka Vodacom Tanzania Plc, Bi Jane Shirima (kushoto), akipokea mfano wa hundi ya Shilingi laki tano kutoka kwa Msimamizi wa maduka ya rejareja wa Kanda ya Kaskazini Irene Mwinyi (kulia) katika Duka la Vodacom lililopo Jijini Arusha. Kupitia kampeni hii wateja wa Vodacom wanajiongezea nafasi za kushinda kila wakinunua vifurushi au kufanya miamala kupitia M-pesa Super App.
Meneja Mauzo wa Mkoa wa Arusha, Vodacom Tanzania Plc, Fredrick Laini (kulia) akimkabidhi mfano wa hundi ya Shilingi laki tano mshindi wa droo ya saba ya Kampeni ya Ni Balaa, Kila Mtu ni Mshindi Sia Hulbert (kushoto) katika hafla iliyofanyika dukani hapo. Ili kuibuka mshindi endelea kufanya miamala na kununua vifurushi kwa kutumia M-Pesa super App.
Ni Balaa! Mshindi wa droo ya saba ya kampeni ya Ni Balaa, Kila Mtu Ni Mshindi kutoka Vodacom Tanzania Plc, Bi Cecilia Sambu (kushoto), akipokea mfano wa hundi ya Shilingi laki tano kutoka kwa meneja wa duka la Vodacom Arusha Zeenath Mwindi (kulia) katika hafla iliyofanyika kwenye dukani hapo. Ikiwa ni mwendelezo wa kampeni hiyo, ili kuibuka mshindi endelea kufanya miamala na M-Pesa super App au nunua vifurushi kwa kupiga *150*00#

No comments:

Post a Comment