Benki ya Standard Chartered Tanzania (SCB) iliandaa hafla ya kuamsha kinywa kwa wateja wake wa Biashara katika Hoteli ya Hyatt Regency ikiwa pamoja na Benki ya Biashara Tanzania lengo ikiwa ni kuhamasisha huduma inayowawezesha wateja wa Standard Chartered Bank kutumia mtandao wa TCB kuweka na kutoa pesa kwenye Matawi yake 82 pamoja na Wakala 5,600 wa TCB kote nchini.
Ushirikiano huu unalenga kutoa urahisi, wakati halisi na mazingira salama kwa wateja wa Standared Chartered Bank kutekeleza huduma zao za benki.
Hafla hiyo ilihudhuriwa na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TCB, Bw. Jema Msuya pamoja na wawakilishi waandamizi kutoka benki hiyo, Rayson Foya, pamoja na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Standared Chartered ambae pia ni Mkuu wa Kitengo cha Miamala, Efeh Amoah pamoja na maafisa wengine kutoka SCB.
Blog Rebranding Teaser_030826
Stanbic Bank Banner_070826
Absa Loan Campaign_160426
Tuesday, 17 October 2023
WATEJA WA STANCHART KUPATA HUDUMA KUPITIA TCB BANK
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
.jpeg)
.jpeg)
No comments:
Post a Comment