Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Monday 26 July 2021

DStv INAKULETEA CHANELI MPYA YA BURUDANI

 

DStv wakali wa burudani wanakuletea Chaneli mpya itakayokuwa ikirusha filamu kali za Afrika Mashariki (Tanzania, Kenya na Uganda).

Pata kuburudika na filamu hizi kupitia Chaneli ya Maisha Magic Movies 141, itakayoanza kuruka kuanzia leo tarehe 26 July 2021, saa 10 jioni.

Kulipia kifurushi chako piga *150*53# ili usikose burudani hii.

No comments:

Post a Comment