Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Thursday 24 June 2021

BENKI YA DCB YASHIRIKI UZINDUZI WA MPANGO WA KUWAANDAA WANACHUO KATIKA SOKO LA KIBENKI

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa, akizungumza wakati wa uzinduzi wa program inayowaandaa wanafunzi wa vyuo vikuu kwa soko la ajira za kibenki uliondaliwa na Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS), chuoni hapo Dar es Salaam. Wengine kutoka kushoto ni Mkuu wa Idara ya Taaluma ya Fedha wa UDBS, Dk. Evelyn Richard, Mkuu wa UDBS, Prof. Ulingeta Mbamba na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya mabenki Tanzania (TBA), Tusekelege Joune.
Mkuu wa Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS), Prof. Ulingeta Mbamba, akizungumza wakati wa uzinduzi wa program inayowaandaa wanafunzi wa vyuo vikuu kwa soko la ajira za kibenki uliondaliwa na Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS), chuoni hapo Dar es Salaam. Wengine kutoka kushoto ni Mratibu wa Kituo Huduma za Kibenki na Fedha wa UDBS, Dk. Tobias Swai, Mkuu wa Idara ya Taaluma ya Fedha wa UDBS, Dk. Evelyn Richard, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya mabenki Tanzania (TBA), Tusekelege Joune.
Mkuu wa Idara ya Taaluma ya Fedha wa Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS), Dk. Evelyn Richard, akizungumza wakati wa uzinduzi wa program inayowaandaa wanafunzi wa vyuo vikuu kwa soko la ajira za kibenki uliondaliwa na Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS), chuoni hapo Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya mabenki Tanzania (TBA), Tusekelege Joune (kulia), akizungumza wakati wa uzinduzi wa program inayowaandaa wanafunzi wa vyuo vikuu kwa soko la ajira za kibenki uliondaliwa na Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS), chuoni hapo Dar es Salaam. 
Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS), wakihudhuria uzinduzi huo chuoni hapo, Mlimani.
Kaimu Mkuu wa Rasilimali Watu wa Benki ya DCB, Meshack Kayila (kushoto), akizungumza na baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDBS), waliohudhuria uzinduzi huo chuoni hapo, Dar es Salaam.

Baadhi ya viongozi wa Shule ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, wanafunzi na waalikwa wengine wakipiga picha ya kumbukumbuku muda mfupi baada ya uzinduzi wa program inayowaandaa wanafunzi wa vyuo vikuu kwa soko la ajira za kibenki uliondaliwa na shule hiyo, Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment