Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Friday 17 January 2020

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA, AREJEA NCHINI TOKEA MSUMBIJI ALIKOMWAKILISHA RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI, KWENYE UAPISHO WA RAIS WA MSUMBIJI, FILIPE NYUSI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, jana Januari 16, 2020 amerejea nchini kutoka Msumbiji, ambako alimwakilisha Rais John Pombe Magufuli, kwenye uapisho wa Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi. Kushoto ni Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa, ambaye pia alikuwepo katika msafara huo.

No comments:

Post a Comment