Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Monday 8 July 2019

TANZANIA INA FURSA KUBWA YA KUVUNA UMEME WA NGUVU YA JUA

Waziri Mkuu Mstaafu Mh. Mizengo Peter Pinda na Mkurugenzi wa TANTRADE, Edwin Rutageruka (kushoto), wakimsikiliza Afisa Masoko wa Mobisol Farid Abdallah, wakati walipotembelea banda la kampuni hiyo katika maonyesho ya 43 ya Kimataifa ya Biashara katika Viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam.
Mfanyakazi wa kampuni ya Mobisol akitoa maelekezo kwa baadhi ya wateja waliotembelea banda la kampuni hiyo katika maonyesho ya 43 ya Kimataifa ya Biashara katika Viwanja vya Sabasaba jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment