Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Friday 28 September 2018

TIGO FIESTA 2018 – VIBE KAMA LOTE KURINDIMA MOROGORO

Msanii wa bongo flava Boniventure Kabogo – Stamina (aliyesimama) akizungumza na waandishi wa habari katika uzinduzi wa Tigo Fiesta 2018 – Vibe Kama Lote mjini Morogoro leo. Tigo imetangaza punguzo la bei kwa tiketi zitakazonunuliwa kupitia Tigo Pesa Masterpass QR pamoja na kuzindua shindano la Tigo Fiesta 2018 Chemsha Bongo. Pamoja naye ni (kuanzia kushoto), Mtangazaji wa kituo cha Clouds FM Gardner Habash, Afisa Utamaduni wa Manispaa ya Morogoro, Stephen Kunambi, Mkuu wa Kitengo cha Masoko wa Tigo – William Mpinga, Afisa Michezo wa Manispaa ya Morogoro - Asteria Mwang’ombe , msanii wa bongo flava Abednego Daniel – Belle 9, na mtangazi wa Clouds FM Kenneth Frank – Kennedy the Remedy. 
Wasanii wa Bongo Flava (kuanzia kushoto) Z Anto, Mr Blue Kabayser na Ben Pol wakisalimiana wakati wa hafla ya uzinduzi wa uzinduzi wa Tigo Fiesta 2018 – Vibe Kama Lote mjini Morogoro leo. Tigo imetangaza punguzo la bei kwa tiketi zitakazonunuliwa kupitia Tigo Pesa Masterpass QR pamoja na kuzindua shindano la Tigo Fiesta 2018 Chemsha Bongo. Tamasha la kwanza la msimu huu wa Tigo Fiesta 2018l inatarajiwa kufanyika katika viwanja vya Jamhuri mjini Morogoro siku ya Jumamosi.

No comments:

Post a Comment