Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Saturday 9 June 2018

WAZIRI LUKUVI AFUNGUA MAONYESHO YA SIKU TATU YA SEKTA YA NYUMBA BUNGENI DODOMA, 28 MEI 2018

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akielekea katika eneo la Maonyesho ya siku tatu ya sekta ya nyumba yanayoratibiwa na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Shirika la Nyumba la Taifa kwaajili ya kuwaelimisha wananchi kuhusu masuala mbalimbali ya nyumba, kulia kwake ni Dk. Raphael Chegeni na nyuma yake ni Mbunge wa Jimbo la Manyoni Magharibi, Yahya Masare.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akikaribishwa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi katika eneo la Maonyesho ya siku tatu ya sekta ya nyumba yanayoratibiwa na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Shirika la Nyumba la Taifa kwaajili ya kuwaelimisha wananchi kuhusu masuala mbalimbali ya nyumba.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akijadiliana jambo na Meneja wa Masoko wa Shirika la Nyumba la Taifa, Itandula Gambalagi na Meneja wa NHC mkoa wa Dodoma, Joseph John katika eneo la Maonyesho la viwanja vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya siku tatu ya sekta ya nyumba yanayoratibiwa na Shirika la Nyumba la Taifa kwaajili ya kuwaelimisha wananchi kuhusu masuala mbalimbali ya nyumba.
Baadhi ya Wadau wa sekta ya nyumba wakiwa katika eneo la Maonyesho ya siku tatu ya sekta ya nyumba yanayoratibiwa na Shirika la Nyumba la Taifa kwaajili ya kuwaelimisha wananchi kuhusu masuala mbalimbali ya nyumba.
Mbunge wa Viti Maalumu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Salma Kikwete akielekea kwenye eneo la Maonyesho ya Sekta ya Nyumba yanayofanyika katika viwanja vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi akizungumza na Naibu Waziri wa Kilimo, Dk Mary Mwanjelwa na Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira, Anthony Mavunde kuhusiana na masuala mbalimbali ya sekta ya nyumba. 
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi akitembelea banda la maonyesho la Benki ya Azania.


Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi akizungumza na Naibu Waziri wa Kilimo, Dk Mary Mwanjelwa kuhusiana na masuala mbalimbali ya sekta ya nyumba.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi akijadiliana jambo na Mkurugenzi wa Independent Planners Limited, Clemence Mero kuhusiana na masuala mbalimbali ya sekta ya nyumba wakati alipotembelea banda la maonyesho la IPL. 
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi akijadiliana jambo na Mkurugenzi wa Independent Planners Limited, Clemence Mero kuhusiana na masuala mbalimbali ya sekta ya nyumba wakati alipotembelea banda la maonyesho la IPL. 
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Vangimembe Lukuvi akielekea katika eneo la Maonyesho ya siku tatu ya sekta ya nyumba yanayoratibiwa na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Shirika la Nyumba la Taifa kwaajili ya kuwaelimisha wananchi kuhusu masuala mbalimbali ya nyumba, kushoto kwake ni Dk. Raphael Chegeni. 
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Felix Manyama Maagi akizungumza na Naibu Waziri wa Kilimo, Dk Mary Mwanjelwa na Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira, Anthony Mavunde kuhusiana na masuala mbalimbali ya sekta ya nyumba.

No comments:

Post a Comment