Foreign Exchange Rates

DStv Advert_010224

DStv Advert_010224

SBT Tanzania Advert_291123

Wednesday 18 April 2018

NBC YAWASHUKURU WAFANYAKAZI WAKE KWA KUKAMILISHA ZOEZI LA UUZAJI WA HISA ZA VODACOM KWA MAFANIKIO

Mkurugenzi Mtendaji wa NBC, Theobald Sabi (wa nne kushoto), akipiga picha na baadhi ya mameneja wa matawi ya NBC katika hafla iliyoandaliwa na benki hiyo kuwapongeza na kutambua mchango wa wafanyakazi na matawi yake yaliyfanya vizuri katika kufanikisha uuzwaji wa hisa za awali za Vodacom Tanzania (IPO), na hatimaye kuingizwa katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE). Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni. 
Mkrugenzi Mtendaji wa NBC, Theobald Sabi (kulia), akikabidhi cheti cha shukurani kwa Mkurugenzi wa Fedha wa Vodacom Tanzania, Jacques Marais ambapo kwa ushirikiano wa pande zote mbili kulisababisha kukamilika kwa zoezi hilo lililovunja rekodi katika historia ya Soko la Hisa la Dar es Salaam ambapo zaidi ya watanzania 40,000 walijitokeza kununua hisa za Vodacom huku NBC ikipewa jukumu la kuhakikisha kuwa mauzo yote ya hisa hizo yanapitia katika benki hiyo na kuhakikiwa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Theobald Sabi (kushoto), akikabidhi cheti kwa mmoja wa wafanyakazi wa benki hiyo, Salama Mussa katika hafla iliyoandaliwa na benki hiyo kuwapongeza na kutambua mchango wa wafanyakazi wake waliohusika kufanikisha uuzwaji wa hisa za awali za Vodacom Tanzania na hatimaye kuingizwa katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE). Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Benki ya NBC Tanzania, Flora Mollel (kushoto), akikabidhi cheti kwa Mariam Kombo, Meneja wa Tawi la NBC Corpoate, katika hafla iliyoandaliwa na benki hiyo kuwapongeza na kutambua mchango wa wafanyakazi wake waliohusika kufanikisha uuzwaji wa hisa za awali za Vodacom Tanzania na hatimaye kuingizwa katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE). Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni. 
Mkuu wa Kitengo cha Makampuni wa NBC, Linley Kapya (kushoto), akikabidhi cheti kwa Noelina Kivaria katika hafla hiyo. 
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Theobald Sabi (kushoto), akikabidhi cheti kwa mmoja wa wafanyakazi wa benki hiyo, Jacqueline Sindano katika hafla iliyoandaliwa na benki hiyo kuwapongeza na kutambua mchango wa wafanyakazi wake waliohusika kufanikisha uuzwaji wa hisa za awali za Vodacom Tanzania na hatimaye kuingizwa katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE). Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Mkurugenzi wa Rasilimali Watu wa Benki ya NBC Tanzania, Flora Mollel (kushoto), akikabidhi cheti kwa Fautina Maeda, Meneja wa Tawi la NBC Samora, katika hafla iliyoandaliwa na benki hiyo kuwapongeza na kutambua mchango wa wafanyakazi wake waliohusika kufanikisha uuzwaji wa hisa za awali za Vodacom Tanzania na hatimaye kuingizwa katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE). Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni. 

No comments:

Post a Comment