Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Tuesday 26 September 2017

RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AZINDUA BARABARA YA KILOMITA 26 YA KIA - MERERANI MKOA WA MANYARA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Bi. Anna Mgwila mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro KIA na kuelekea Mererani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara kwaajili ya ufunguzi wa barabara ya KIA – MERERANI yenye urefu wa km 26. Septemba, 20 ,2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na mkuu wa mkoa wa Arusha Bw. Mrisho Gambo mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro KIA na kuelekea Mererani wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara kwaajili ya ufunguzi wa barabara ya KIA – MERERANI yenye urefu wa km 26. Septemba, 20 ,2017. 
Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitembea pamoja na wakuu wa mikoa ya Kilimanjaro na Arusha mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) tayari kuelekea katika uzinduzi wa barabara ya lami ya kilomita 26 kutoka Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa kilimanjaro (KIA) katika mkoa wa Kilimanjaro hadi Mererani mkoani Manyara September 20, 2017.
CONTINUE READING

No comments:

Post a Comment