Foreign Exchange Rates

DStv Advert_010224

DStv Advert_010224

SBT Tanzania Advert_291123

Wednesday 16 January 2019

RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI ASHUHUDIA UTIWAJI SAINI MAKUBALIANO KATI YA SERIKALI NA AIRTEL

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mikono na Mwenyekiti wa kampuni ya Bharti Airtel Bw. Sunil Mittal baada ya kushuhudia zoezi la kutiwa saini kwa makubaliano mapya ya ubia kati ya serikali itayokuwa na asilimia 49 na Airtel na asilimia 51 kwenye hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam, Januari 15, 2019. Katikati ni Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabudi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akishuhudia Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabud akipeana mikono na Mwenyekiti wa kampuni ya Bharti Airtel Bw. Sunnil Mittal baada ya kutiwa saini kwa makubaliano mapya ya ubia kati ya serikali itayokuwa na asilimia 49 na Airtel asilimia 51 kwenye hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 15, 2019. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mikono na Mwenyekiti wa kampuni ya Bharti Airtel Bw. Sunil Mittal baada ya kushuhudia zoezi la kutiwa saini kwa makubaliano mapya ya ubia kati ya serikali itayokuwa na asilimia 49 na Airtel na asilimia 51 kwenye hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam, Januari 15, 2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabudi aliyeongoza timu ya Serikali katika mazungumzo na kampuni ya Bharti Airtel katika kufikia makubaliano mapya ya ubia kati ya serikali itayokuwa na asilimia 49 na kampuni hiyo asilimia 51 kwenye hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam Januari 15, 2019. Wengine ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi, Katibu Mkuu wizara ya Fedha na Mipango Bw. Doto James, Mwenyekiti wa Bharti Airtel Bw. Sunnil Mittal na ujumbe wake pamoja na ujumbe wa serikali.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na Mwenyekiti wa kampuni ya Bharti Airtel Bw. Sunnil Mittal na ujumbe wake pamoja na ujumbe wa serikali baada ya kupata picha ya pamoja ya kumbukumbu ya kutiwa saini kwa makubaliano mapya ya ubia kati ya serikali itayokuwa na asilimia 49 na Airteml asilimia 51 kwenye hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam, Januari 15, 2019. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akishuhudia Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabudi na Mwenyekiti wa kampuni ya Bharti Airtel Bw. Sunil Mittal wakitia saini makubaliano mapya ya ubia kati ya serikali itayokuwa na asilimia 49 na Airtel na asilimia 51 kwenye hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam, Januari 15, 2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akishuhudia Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabud na Mwenyekiti wa kampuni ya Bharti Airtel Bw. Sunil Mittal wakionyesha nyaraka za makubaliano mapya ya ubia kati ya serikali itayokuwa na asilimia 49 na Airtel na asilimia 51 kwenye hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam, Januari 15, 2019.
Ikulu Blog

No comments:

Post a Comment