Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Sunday 14 January 2018

TAZAMA RAIS KAGAME ALIVYOTUA TANZANIA, 14 JAN. 2018


Hivi ndivyo Rais wa Rwanda Paul Kagame alivyowasili katika uwanja wa ndege wa Mwl. Julius Nyerere Dar es Salaam tayari kwa ziara yake ya siku moja nchini Tanzania. Rais Kagame amepokelewa na mwenyeji wake Rais John Magufuli na kisha kuelekea Ikulu kwaajili ya mazungumzo.

No comments:

Post a Comment