Foreign Exchange Rates

CRDB Bank Advert_070325

Selcom Pesa Advert_110225

Selcom Pesa Advert_110225

Standard Chartered Advert_300125

Standard Chartered Advert_300125

Grooveback Advert_210725

Grooveback Advert_210725

Wednesday, 15 July 2015

KAMPUNI YA TIGO YATOA ZAWADI YA EID NA KUFUTURISHA MKOANI SINGIDA

Meneja huduma kwa wateja Tigo Kanda ya Kaskazini, Gwamaka Mwakilembe (mwenye miwani) akikabidhi zawadi za sikukuu ya Eid kwa Msemaji mkuu wa msikiti wa Taqwa Singida Mjini, Sheikh Saad Mhando kabla ya kupata futari iliyoandaliwa na Kampuni ya Tigo mkoani humo.
Meneja huduma kwa wateja Tigo Kanda ya Kaskazini, Gwamaka Mwakilembe (mwenye miwani) akiwa pamoja na Masheikh na watoto wa Msikiti wa Taqwa mjini Singida kwenye dua ya pamoja.
Wahudumu wa chakula wakitoa huduma kwa waalikwa.
Waalikwa wakipata futari iliyoandaliwa na Kampuni ya Tigo Mkoani Singida.
Waalikwa wakipata futari iliyoandaliwa na Kampuni ya Tigo Mkoani Singida.
Wahudumu wa chakula wakitoa huduma kwa waalikwa.
Waalikwa wakipata futari iliyoandaliwa na Kampuni ya Tigo Mkoani Singida.

No comments:

Post a Comment