Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Tuesday 30 June 2015

TWIGA CEMENT WATOA SOMO KWA WATENGENEZA MATOFALI

Mkurugenzi wa Biashara wa Kampuni ya Saruji ya Twiga (TPCC), Simon Delens (kushoto), akizungumza katika semina ya utengenezaji wa matofali iliyoandaliwa na kampuni hiyo ambapo zaidi ya watengeneza matofali 200 walifundishwa jinsi ya utengenezaji bora wa tofali, masuala ya afya na usalama kazini na biashara ya bidhaa hiyo. Semina hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wengine kushoto kwake ni Mhandisi Emmanuel Owoya na Meneja Usambazaji, Tumaini Joseph.
Mkurugenzi wa Biashara wa Kampuni ya Saruji ya Twiga (TPCC), Simon Delens (kulia), akizungumza katika semina ya utengenezaji wa matofali iliyoandaliwa na kampuni hiyo ambapo zaidi ya watengeneza matofali 200 walifundishwa jinsi ya utengenezaji bora wa tofali, masuala ya afya na usalama kazini na biashara ya bidhaa hiyo. Semina hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Twiga Cement, Martha Haule (kulia) akizungumza katika semina hiyo.
Meneja Usambazaji wa Kampuni ya Saruji ya Twiga (TPCC), Tumaini Joseph (wa pili kushoto) akikabidhi cheti kwa mmoja wa washiriki wa semina ya utengenezaji wa matofali, Ramadhani Msati (kulia) iliyoandaliwa na kampuni hiyo ambapo zaidi ya watengeneza matofali 200 walifundishwa jinsi ya utengenezaji bora wa tofali, masuala ya afya na usalama kazini na biashara ya bidhaa hiyo. Semina hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam. Wengine kutoka kushoto ni, Meneja Afya na Usalama wa TPCC, Alfred Antony na Mhandisi Emmanuel Owoya wa Twiga Cement.
Meneja Afya na Usalama wa Kampuni ya Saruji ya Twiga (TPCC), Alfred Anthony (kushoto), akizungumza katika semina ya utengenezaji wa matofali iliyoandaliwa na kampuni hiyo ambapo zaidi ya watengeneza matofali 200 walifundishwa jinsi ya utengenezaji bora wa tofali, masuala ya afya na usalama kazini na biashara ya bidhaa hiyo. Semina hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wengine kushoto kwake ni Mhandisi Emmanuel Owoya, Meneja Usambazaji, Tumaini Joseph na Mkurugenzi wa Biashara, Simon Delens.
Baadhi ya watengeneza matofali wakipozi kwa picha baada ya kukabidhiwa vifaa mbalimbali kwa ajili ya shughulia zao za kila siku. Vifaa walivyokabidhiwa ni glovu, buti, mask na makoti.

No comments:

Post a Comment