![]() |
| Spika akijadiliana jambo na Mkurugenzi Mkuu, Dk Banyani. |
![]() |
| Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Job Ndugai akisisitiza jambo kwa Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Dk Maulidi Banyani (wa pili kushoto) baada ya mkutano huo. |
![]() |
| Spika Ndugai akiteta jambo na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani cha Shirika la Nyumba la Taifa, Abdallah Migilla. |
![]() |
| Wakifurahia jambo baada ya majadiliano ya hoja kadhaa za maendeleo ya sekta ya ujenzi na Shirika kwa ujumla. |








No comments:
Post a Comment